kijana255
JF-Expert Member
- Mar 5, 2017
- 277
- 257
Habari wakuu, nimekuja kwenye jukwaa ili niombe ushauri nifanyaje tatizo langu ni kila mwanamke ninayemuona natamani kuwa naye. Awe mwembamba au mnene uko bado ndio nishachafua karibia wote, kila nikisema huyu wa mwisho nakaa kidogo siku mbili napiga mwingine tena.
Yaani magesti yote wananijua, nataka niache nashindwa.
Ushauri wakuu
Yaani magesti yote wananijua, nataka niache nashindwa.
Ushauri wakuu