Ushauri wenu kuhusu huyu ndugu

Ushauri wenu kuhusu huyu ndugu

Kama wewe uliye kwenye picha ya ID yako basi nami nasapoti kabisa huyo mkubwa wako aendelee kukuchukia tu maana huna na hutakutwa na hekima kujenga imani kwa Kaka yako akijishusha.
 
............ushauli wenu wadau uyu mtoto wakiume anamiaka 32 ataki kufanya kazi, akipewa mtaji anahonga, analewa kipumbavu nakwasasa nimlevi sana akipewa hela yeye kulewa na anapenda sana wanawake alafu JOGOO HAWIKI, kazi hataki. afanyweje uyu ? anataka nnachopewa mimi nayeye apewe imefikia hatua mama anamuangalia sana yeye kuliko mimi na bado hapendi uwepo wangu.
ushauri wakuu

asanten.
Mkuu kataa kubali kuna shida kwenye familia yenu. Kwa maelezo hayo nimebold hapo, wote mna matatizo, mama yenu ana kazi sana! Pole yake asee
 
habar wakuu, ushauri wenu tafadhali

nina ndugu yangu wa damu kabisa katika familia yetu tupo watatu wakike kaolewa, wapili ndio yeye nawamwisho mimi, nakwasasa nina miaka mitano hatuongei kwakuwa tuligombana kwasababu yatabia zake zakishenzi, pia nyumbani inatambulika mimi simpendi na nayeye hanipendi

yani yeye tangu mzee yupo hai alikuwa mtu wa hovyo sana mzee alikuwa anajitahidi sana kumpa mitaji yabiashara yani yeye wiki tu ameshauwa kila kitu, kwamwaka anaweza akapewa mtaji zaidi ya mara 20 nakuuwa tu.


lakini sasa tangu mwaka jana mzee afariki mama ndio amekuwa amechukua jukumu ilo anampa mtaji lakini bado vile vile, anakaa nyumbani, kwasasa hataki kujishughulisha na shughuli yoyote, anakaa tu nyumbani mda wote anaangalia tv akiomba hela kwamama anataka lazima apewe, mama akisema sina matusi yanaanza nispokuwepo nyumbani hapo hadi mimi siponi, anaanza_ unamuendekeza sana mwanao uyu, mimi sithaminiki humu ndani nmeomba sh elfu 10,000 tu nanyimwa lakini unamuendekeza sana mwanao, ukija kufa atapata shida sana na simpendi.

maneno mengi mpaka mama ata kama hana itabidi atoe tu hiyo hiyo, anasababisha matatizo anazulumu watu anafanya vituko nyumbani, kwasababu mama mpole analipa tu looooh ! nmekelwa na tabia zake , kwasasa anamiaka 32 namimi ni miaka 20 tu na mimi niwamwisho kwetu.

kwasasa naona chuki imezidi sana, ananichukia hadi mimi najishtukia najua anaweza kufanya lolote kwangu ili anione napata shida ata nkikaa home nakuwa makini sana na akiniona mimi anajua sipendi upumbavu anapoa sana lakini nispokuwepo anamtesa sana anamtesa sana mama mpaka mama anafika hatua anasema uyu mtoto analaana

ushauli wenu wadau uyu mtoto wakiume anamiaka 32 ataki kufanya kazi, akipewa mtaji anahonga, analewa kipumbavu nakwasasa nimlevi sana akipewa hela yeye kulewa na anapenda sana wanawake alafu JOGOO HAWIKI, kazi hataki. afanyweje uyu ? anataka nnachopewa mimi nayeye apewe imefikia hatua mama anamuangalia sana yeye kuliko mimi na bado hapendi uwepo wangu.
ushauri wakuu

asanten.

Duh! Poleni sana.

Kiini cha Kosa hapo ni LA wazazi wenu. Kumbuka ya kwamba "mtoto umleavyo ndivyo akuavyo"

Wazazi wako wamelikoroga KWA hiyo lazima alinywe, hususani huyo mama yako aliyebaki hai.

Pili, sijajua kama wewe ni ME au KE??jinsia yako.

KWA nini mtoto wa umri wa miaka 32 awe bado anaishi nyumbani KWA wazazi?? Haoni aibu??
Hakika, wazazi wako wamefanya mistakes mbaya sana,

Kitu cha msingi
1.Jitahidi kufanya mpango wa kuhama kutoka hapo kwenye nyumba ya familia yenu, ukajitegemee
Ndugu yako naye pia ahame, mshauri mama yenu amhamishe huyo ndugu yenu.
2.Watu WA namna hii huwa wanapenda sana kugombea Urithi wa mali pale wazazi wanapofariki dunia.Chukueni tahadhari kubwa sana ili asije akawahi kuwaueni ili abaki mrithi peke yake,
Mtahadharisheni pia mama yenu kuhusu hili, atauawa KWA kuchelewesha urithi WA Mali.
Mifano hai ktk hili IPO mingi sana tayari ilishatokea

3.Mshaurini mama yenu aandike WOSIA WA kugawa Mali ktk kiwango sawa kwenu, japokuwa siyo jambo jema sana kwake lakini itasaidia kuwapunguzieni migogoro nyinyi watoto endapo kama yeye Mungu atamchukua.
 
habar wakuu, ushauri wenu tafadhali

nina ndugu yangu wa damu kabisa katika familia yetu tupo watatu wakike kaolewa, wapili ndio yeye nawamwisho mimi, nakwasasa nina miaka mitano hatuongei kwakuwa tuligombana kwasababu yatabia zake zakishenzi, pia nyumbani inatambulika mimi simpendi na nayeye hanipendi

yani yeye tangu mzee yupo hai alikuwa mtu wa hovyo sana mzee alikuwa anajitahidi sana kumpa mitaji yabiashara yani yeye wiki tu ameshauwa kila kitu, kwamwaka anaweza akapewa mtaji zaidi ya mara 20 nakuuwa tu.


lakini sasa tangu mwaka jana mzee afariki mama ndio amekuwa amechukua jukumu ilo anampa mtaji lakini bado vile vile, anakaa nyumbani, kwasasa hataki kujishughulisha na shughuli yoyote, anakaa tu nyumbani mda wote anaangalia tv akiomba hela kwamama anataka lazima apewe, mama akisema sina matusi yanaanza nispokuwepo nyumbani hapo hadi mimi siponi, anaanza_ unamuendekeza sana mwanao uyu, mimi sithaminiki humu ndani nmeomba sh elfu 10,000 tu nanyimwa lakini unamuendekeza sana mwanao, ukija kufa atapata shida sana na simpendi.

maneno mengi mpaka mama ata kama hana itabidi atoe tu hiyo hiyo, anasababisha matatizo anazulumu watu anafanya vituko nyumbani, kwasababu mama mpole analipa tu looooh ! nmekelwa na tabia zake , kwasasa anamiaka 32 namimi ni miaka 20 tu na mimi niwamwisho kwetu.

kwasasa naona chuki imezidi sana, ananichukia hadi mimi najishtukia najua anaweza kufanya lolote kwangu ili anione napata shida ata nkikaa home nakuwa makini sana na akiniona mimi anajua sipendi upumbavu anapoa sana lakini nispokuwepo anamtesa sana anamtesa sana mama mpaka mama anafika hatua anasema uyu mtoto analaana

ushauli wenu wadau uyu mtoto wakiume anamiaka 32 ataki kufanya kazi, akipewa mtaji anahonga, analewa kipumbavu nakwasasa nimlevi sana akipewa hela yeye kulewa na anapenda sana wanawake alafu JOGOO HAWIKI, kazi hataki. afanyweje uyu ? anataka nnachopewa mimi nayeye apewe imefikia hatua mama anamuangalia sana yeye kuliko mimi na bado hapendi uwepo wangu.
ushauri wakuu

asanten.
Umejuaje kama jogoo hawiki ? Umeshamjaribu au ni katika ile chuki kati yenu ?
 
Duh! Poleni sana.

Kiini cha Kosa hapo ni LA wazazi wenu. Kumbuka ya kwamba "mtoto umleavyo ndivyo akuavyo"

Wazazi wako wamelikoroga KWA hiyo lazima alinywe, hususani huyo mama yako aliyebaki hai.

Pili, sijajua kama wewe ni ME au KE??jinsia yako.

KWA nini mtoto wa umri wa miaka 32 awe bado anaishi nyumbani KWA wazazi?? Haoni aibu??
Hakika, wazazi wako wamefanya mistakes mbaya sana,
mimi ni me mkuu
 
Umejuaje kama jogoo hawiki ? Umeshamjaribu au ni katika ile chuki kati yenu ?
wazazi pia wamemuangaikia sana dawa familia inajua anapenda sana wanawake wakati hamna kitu na kazi hataki kufanya sasa anataka nini ? hana faida.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom