Rejea thread niliyoanzisha ikisema,
Waziri wa Nishati anafanya nini kikaoni wakati Nchi Iko gizani?- Rabbon.
Hoja ya thread hapo juu ililenga kuuulizia ilipo nafasi ya waziri wa Nishati ambayo ni kama kivuli Cha nafasi ya Naibu waziri mkuu.
Naibu waziri mkuu Mh Biteko alimwagiza Ndugu Maharage kutohudhuria kikao Cha kujadili masuala ya Nishati Ili ajumuike na team yake kutatua tatizo la umeme, wakati ktk uhalisia, waziri wa Nishati alitakiwa pia kuondoka kikaoni kushughulikia tatizo.
HOJA yangu ililenga kuonyesha gap ambalo Kwa namna Fulani, Naibu waziri mkuu anashindwa kuliziba Kwa jinsi asivyoweza kujitenga na nafasi mbili alizopewa Kwa wakati mmoja.
Sishauri kuteuliwa mwingine Kwa nafasi ya Waziri wa Nishati kumtenga na nafasi ya Naibu waziri mkuu,
Nia yangu ni kushauri watu makini ambao wanaweza kushika nafasi ya Naibu waziri mkuu lakini hapo hapo Wana uwezo na uzoefu kuziba gap ikiwa Mh Biteko ametingwa Mahali.
Yaani anakuwa Naibu waziri Nishati, lakini hapohapo anakuwa waziri wa Nishati kivuli muda ambao Naibu waziri mkuu ametingwa.
Ushauri huu ni Kwa Maslahi mapana ya nchi, na ni ushauri wa dharura kuokoa jahazi kuzama Hasa katika kipindi hiki kigumu Nchi ikiwa gizani.
Karibuni🙏.
Amen
Waziri wa Nishati anafanya nini kikaoni wakati Nchi Iko gizani?- Rabbon.
Hoja ya thread hapo juu ililenga kuuulizia ilipo nafasi ya waziri wa Nishati ambayo ni kama kivuli Cha nafasi ya Naibu waziri mkuu.
Naibu waziri mkuu Mh Biteko alimwagiza Ndugu Maharage kutohudhuria kikao Cha kujadili masuala ya Nishati Ili ajumuike na team yake kutatua tatizo la umeme, wakati ktk uhalisia, waziri wa Nishati alitakiwa pia kuondoka kikaoni kushughulikia tatizo.
HOJA yangu ililenga kuonyesha gap ambalo Kwa namna Fulani, Naibu waziri mkuu anashindwa kuliziba Kwa jinsi asivyoweza kujitenga na nafasi mbili alizopewa Kwa wakati mmoja.
Sishauri kuteuliwa mwingine Kwa nafasi ya Waziri wa Nishati kumtenga na nafasi ya Naibu waziri mkuu,
Nia yangu ni kushauri watu makini ambao wanaweza kushika nafasi ya Naibu waziri mkuu lakini hapo hapo Wana uwezo na uzoefu kuziba gap ikiwa Mh Biteko ametingwa Mahali.
Yaani anakuwa Naibu waziri Nishati, lakini hapohapo anakuwa waziri wa Nishati kivuli muda ambao Naibu waziri mkuu ametingwa.
Ushauri huu ni Kwa Maslahi mapana ya nchi, na ni ushauri wa dharura kuokoa jahazi kuzama Hasa katika kipindi hiki kigumu Nchi ikiwa gizani.
Karibuni🙏.
Amen