Ushauri: Waziri Kalemani ateuliwe kuwa Naibu Waziri wa Nishati Ili kuboresha ufanisi katika wizara hiyo

Aliweza hiyo wizara Kwa sababu alipewa full support na Hayati magufuli kwahiyo ikawa rahis ila Kwa mazingira ya Sasa ni ishu Sana maana manyan hawana uoga tena
 
Rejea thread niliyoanzisha ikisema,

Waziri wa Nishati anafanya nini kikaoni wakati Nchi Iko gizani?- Rabbon.

Hoja ya thread hapo juu ililenga kuuulizia ilipo nafasi ya waziri wa Nishati ambayo ni kama kivuli Cha nafasi ya Naibu waziri mkuu.

Naibu waziri mkuu Mh Biteko alimwagiza Ndugu Maharage kutohudhuria kikao Cha kujadili masuala ya Nishati Ili ajumuike na team yake kutatua tatizo la umeme, wakati ktk uhalisia, waziri wa Nishati alitakiwa pia kuondoka kikaoni kushughulikia tatizo.

HOJA yangu ililenga kuonyesha gap ambalo Kwa namna Fulani, Naibu waziri mkuu anashindwa kuliziba Kwa jinsi asivyoweza kujitenga na nafasi mbili alizopewa Kwa wakati mmoja.

Sishauri kuteuliwa mwingine Kwa nafasi ya Waziri wa Nishati kumtenga na nafasi ya Naibu waziri mkuu,

Nia yangu ni kushauri watu makini ambao wanaweza kushika nafasi ya Naibu waziri mkuu lakini hapo hapo Wana uwezo na uzoefu kuziba gap ikiwa Mh Biteko ametingwa Mahali.

Ushauri huu ni Kwa Maslahi mapana ya nchi, na ni ushauri wa dharura kuokoa jahazi kuzama Hasa katika kipindi hiki kigumu Nchi ikiwa gizani.

Karibuni🙏.

Amen
Wakati nchi inapitia cha giza na mauaji ya mwendazake mlikuwa kama nyau
 
Kuna wizara za kutengwa na kuna wizara unaweza kuzichanganya hata 4.
Ila wizara ya nishati na madini..!! Mtu huyu aende kwenye migodi, mtu huyu afuatilie umeme uwake..kwanini akili yake isiegemee kwenye kutorosha madini...!!h

Hizi wizara si zilishatenganishwa jamani. Kuna wizara ya Nishati na kuna wizara ya Madini.
 
Tatizo la umeme ni la kitaifa, Si la kundi Fulani,

Historia inaonyesha Kalemani angalau aliweza kutatua tatizo!!



Aliweza sababu ya aliyekuwa pale juu.

Sasa yupo mwingine, Je unamuonaje?

Kiutendaji, ufuatiliaji , kimaono n.k ni Sawa na jamaa wa wakati ule?
 
Rejea thread niliyoanzisha ikisema,

Waziri wa Nishati anafanya nini kikaoni wakati Nchi Iko gizani?- Rabbon.

Hoja ya thread hapo juu ililenga kuuulizia ilipo nafasi ya waziri wa Nishati ambayo ni kama kivuli Cha nafasi ya Naibu waziri mkuu.

Naibu waziri mkuu Mh Biteko alimwagiza Ndugu Maharage kutohudhuria kikao Cha kujadili masuala ya Nishati Ili ajumuike na team yake kutatua tatizo la umeme, wakati ktk uhalisia, waziri wa Nishati alitakiwa pia kuondoka kikaoni kushughulikia tatizo.

HOJA yangu ililenga kuonyesha gap ambalo Kwa namna Fulani, Naibu waziri mkuu anashindwa kuliziba Kwa jinsi asivyoweza kujitenga na nafasi mbili alizopewa Kwa wakati mmoja.

Sishauri kuteuliwa mwingine Kwa nafasi ya Waziri wa Nishati kumtenga na nafasi ya Naibu waziri mkuu,

Nia yangu ni kushauri watu makini ambao wanaweza kushika nafasi ya Naibu waziri mkuu lakini hapo hapo Wana uwezo na uzoefu kuziba gap ikiwa Mh Biteko ametingwa Mahali.

Ushauri huu ni Kwa Maslahi mapana ya nchi, na ni ushauri wa dharura kuokoa jahazi kuzama Hasa katika kipindi hiki kigumu Nchi ikiwa gizani.

Karibuni🙏.

Amen
Hilo haliwezekani, pendekeza wa kabila na kanda nyingine
 
Aliweza sababu ya aliyekuwa pale juu.

Sasa yupo mwingine, Je unamuonaje?

Kiutendaji, ufuatiliaji , kimaono n.k ni Sawa na jamaa wa wakati ule?
Kuletwa mtu aina ya Biteko wizara hiyo ni kujirudia baada ya Kipara kuboronga.
 
Hilo haliwezekani, pendekeza wa kabila na kanda nyingine
Mwl Nyerere aliwahi Sema kabila,ukanda nk nk vinatuchelewesha,

Kwamba ni Rais mzuri, tatizo ni MKARA!!

Yaani upate watu makini na uwaache sababu unataka kuridhisha Kanda Fulani?

Hujiulizi kwann Tanga wabunge karibia wote ni mawaziri?

Ingawa ukiniuliza mawaziri Kutoka Tanga Wana ubora kiasi Gani, majibu Sina!!
 
Kuletwa mtu aina ya Biteko wizara hiyo ni kujirudia baada ya Kipara kuboronga.



Tunaposema pale juu ni juu top kabisa.

JPM alikuwa halali hadi ufumbuzi upatikane wa kero /tatizo la wananchi.
Results orientation person.

Alikuwa agressive, suspicious

Haambiwi jambo na watendaji akakubali bila kuhoji Kwanini hii Na isiwe vinginevyo ?

Wakileta wazo ana challenge akiona umejibu kwa mapana kwa hoja anakubali na sio kusema nendeni mkatekeleze kirahisi.
 
Tunaposema pale juu ni juu top kabisa sio juu ya wizara.

JPM alikuwa halali hadi ufumbuzi upatikane wa kero /tatizo la wananchi.
Results orientation person.

Alikuwa agressive, suspicious

Haambiwi jambo na watendaji akakubali bila kuhoji Kwanini hii Na isiwe vinginevyo ?

Wakileta wazo ana challenge akiona umejibu kwa mapana kwa hoja anakubali na sio kusema nendeni mkatekeleze kirahisi.
Kuna mtu mbunge aliniambia, alikuwa akipigiwa simu mara Kwa mara akikaripiwa kufuatilia miradi ya jimboni kwake Hadi saa nane usiku.

Ama Kweli, Wema Huwa hawana maisha.😭
 
Nionyeshe kifungu Cha KATIBA kinachokataza Hilo kutendeka.
Kifungu hakuna ila utendaji kazi utakuwa ni washida sana, kama ujuavyo viongozi wengi wa kiafrica upenda kusujudiwa.Ni bora uwe mkuu wa mkoa then uwe mkuu wa wilaya kuliko waziri then NW
 
Kuna jambo la kujiuliza ni kwanini waziri mkuu amakuwa akijitenga na hizi wizara, wizara ya nishati pamoja na ya maji na huko kuna mabilioni ya hela yanamwagwa huko kila mwaka lkn sijawahi kusikia anakosoa ucheleweshwaji wa miradi mbalimbali ya wizara hizo, au alikatazwa asiziguse? Badala yake utamsikia Tamisemi tu.
 
Kifungu hakuna ila utendaji kazi utakuwa ni washida sana, kama ujuavyo viongozi wengi wa kiafrica upenda kusujudiwa.Ni bora uwe mkuu wa mkoa then uwe mkuu wa wilaya kuliko waziri then NW
Hawapasi kuwa hivyo,

Maana yaweza kuwa mtu amewahi kuwa mkurugenzi kabla na nafasi ikafika mwisho,

Apatapo nafasi ya uhasibu iliyo chini ya mkurugenzi ni LAZIMA aifanye na maisha yaendelee.
 
Kuna jambo la kujiuliza ni kwanini waziri mkuu amakuwa akijitenga na hizi wizara, wizara ya nishati pamoja na ya maji na huko kuna mabilioni ya hela yanamwagwa huko kila mwaka lkn sijawahi kusikia anakosoa ucheleweshwaji wa miradi mbalimbali ya wizara hizo, au alikatazwa asiziguse? Badala yake utamsikia Tamisemi tu.
Anaangalia juu Pana msimamo Gani!!
 
Mwl Nyerere aliwahi Sema kabila,ukanda nk nk vinatuchelewesha,

Kwamba ni Rais mzuri, tatizo ni MKARA!!

Yaani upate watu makini na uwaache sababu unataka kuridhisha Kanda Fulani?

Hujiulizi kwann Tanga wabunge karibia wote ni mawaziri?

Ingawa ukiniuliza mawaziri Kutoka Tanga Wana ubora kiasi Gani, majibu Sina!!
sawa comred
 
Usitudanganye,!


Alikuwa ahahutubia Baraza la madiwani na wakuu wa idara na vitengo wa halamshauri ya chato. Akawa anamkebehi Maza huku anasifia mtangulizi.

Kikao kinaisha hajakuta V8 yenye bendera, akapewa lifti na DSO.

Aliponzwa na mdomo wake.
Thibitisha mkuu
 
Back
Top Bottom