Chief Kumbyambya
JF-Expert Member
- Jun 16, 2022
- 732
- 2,443
Nimechoshwa na hizi sabufa za kichina maana baada ya muda zinaanza kukoroma tu. Hapa nina sea piano 8800 nimeitumia miezi minne tu linakoroma hatari.
Nataka kuweka hizi spika za Ailipu ili niwe nakula mziki geto sasa kwa wale wazoefu wa mambo wa music naomba mnisaue kama hizi spika zinakita vizuri ama na zenyewe ni kama sea piano tu.
Nataka kuweka hizi spika za Ailipu ili niwe nakula mziki geto sasa kwa wale wazoefu wa mambo wa music naomba mnisaue kama hizi spika zinakita vizuri ama na zenyewe ni kama sea piano tu.