Sokomoko
JF-Expert Member
- Mar 29, 2008
- 1,915
- 127
Habari yako Mheshimiwa Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya mahesabu ya umma, nakuandikia waraka huu kwa kuwa mimi ni mmoja wa huo umma ambao unasimamia mahesabu yetu. Nimefatilia hoja uliyoiwasilisha bungeni michango ya wabunge na hitimisho la hoja yako.
Uliazimia kukusanya sahihi 70 kutoka kwa wabunge ili bunge liweze kupata firsa ya kumpigia kura ya kutokuwa na imani nae waziri wetu mkuu (mtoto wa mkulima) ambae siku zote huwa hana majibu ya moja kwa moja zaidi ya kusema mimi naona mimi nadhani mimi naona tusubiri mimi mimi mimi mimi........................... nadhani wewe pamoja na umma wa Watanzania tumechoshwa na hizo "mimi nadhani" ila naona wingu mbele ya hoja yako (vifungu) na hasa mtafsiri vifungu (spika).
Wewe kama Mwenyekiti wa kamati na sio makamu wa mwenyekiti wa cdm ulitoa hoja kuwa wabunge wajipime lakini hawakujipima bali wameenda kushinikizwa kwenye kikao cha chama bila kujua hii nchi sio ya ccm wala sio ya chama chochote! wamefanya hivyo ili wewe uonekane kituko!
Ushauri wangu.
Kabla ya kuwasilisha sahihi 70 omba mwongozo kutoka kwa spika wa kuitishwa bunge la dharura baada ya siku kumi na nne kwa ajili ya maslahi ya umma pili ukiona hilo limewekewa zengwe omba mwongozo wa nini kifanyike kupiga kura ya kutokuwa na imani na spika naamini Sitta angekuwepo mambo yangeenda vizuri hata vifungu vingetenguliwa kwa maslahi ya Taifa.
Uliazimia kukusanya sahihi 70 kutoka kwa wabunge ili bunge liweze kupata firsa ya kumpigia kura ya kutokuwa na imani nae waziri wetu mkuu (mtoto wa mkulima) ambae siku zote huwa hana majibu ya moja kwa moja zaidi ya kusema mimi naona mimi nadhani mimi naona tusubiri mimi mimi mimi mimi........................... nadhani wewe pamoja na umma wa Watanzania tumechoshwa na hizo "mimi nadhani" ila naona wingu mbele ya hoja yako (vifungu) na hasa mtafsiri vifungu (spika).
Wewe kama Mwenyekiti wa kamati na sio makamu wa mwenyekiti wa cdm ulitoa hoja kuwa wabunge wajipime lakini hawakujipima bali wameenda kushinikizwa kwenye kikao cha chama bila kujua hii nchi sio ya ccm wala sio ya chama chochote! wamefanya hivyo ili wewe uonekane kituko!
Ushauri wangu.
Kabla ya kuwasilisha sahihi 70 omba mwongozo kutoka kwa spika wa kuitishwa bunge la dharura baada ya siku kumi na nne kwa ajili ya maslahi ya umma pili ukiona hilo limewekewa zengwe omba mwongozo wa nini kifanyike kupiga kura ya kutokuwa na imani na spika naamini Sitta angekuwepo mambo yangeenda vizuri hata vifungu vingetenguliwa kwa maslahi ya Taifa.