Mimi ni zaidi ya babu yako.Ukiwa mkubwa utanielewa
Huu ushauri kawape wa nyumbani kwako! Ushauri wa kisengerema sana huu, yaani hata mama yako usimwamini? Nyie ndio mnawachinja mama zenu na kuwacharanga kama kitimoto!!Usimuamini yeyote chini ya jua kila mtu mchukulie kwa tahadhari. Hata mama yako mzazi usimuamini. Utakuja nishukuru siku yakikukuta. Talking from experience.
wee tyari mchepuko keshakupiga kitu kizito kichwani, na ukome usirudie sikuingine.Usimuamini yeyote chini ya jua kila mtu mchukulie kwa tahadhari. Hata mama yako mzazi usimuamini. Utakuja nishukuru siku yakikukuta. Talking from experience.