Nyaru-sare
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 5,263
- 3,628
ukisha changa tu hawakujui hata kupata kadi kadi ni kwa mbinde sanaKuna mtu kaniamkia juzi ili anikumbushe mchango wakati kanizidi umri, nilicheka sana.
Msg wanatuma kama dozi ya Malaria asubuhi,mchana na jioni