Nickson Swai
JF-Expert Member
- Sep 5, 2018
- 548
- 475
Habari zenu natumaini wazima wa afya.
Najua wapo watu wapo kwenye mipango ya kufunga ndoa, mimi kitu ambacho nimekiona mambo ya kuzingatia kabla ya harusi;
1. Uwe na akiba yako binafsi kabla ya harusi, ili inapotokea bajeti imepungua mzee unajiongeza.
2. Wengi wanategemea michango ya watu, hili ndilo limetawala kwa wahusika yaani katika kitu ambacho watu wanafeli ni hapo, endapo wasipochanga kwa kiasi itakuyumbisha.
3. Usitegemee kamati ya watu mbalimbali.
4. Wengi wanataka kuonyesha ufahari wa matumizi ya pesa yanayozidi uwezo, mfano ukumbi wa milioni 5-10 kwa siku. Wanasahau sherehe ni siku moja na ndoa ni ya muda mrefu. Hivyo mkija kuachana daah, mbwembwe zote zinakwisha.
5. Fanya kitu ambacho uwezo wako unaendana nao.
Yangu ni hayo tu, ahsanteni.
Najua wapo watu wapo kwenye mipango ya kufunga ndoa, mimi kitu ambacho nimekiona mambo ya kuzingatia kabla ya harusi;
1. Uwe na akiba yako binafsi kabla ya harusi, ili inapotokea bajeti imepungua mzee unajiongeza.
2. Wengi wanategemea michango ya watu, hili ndilo limetawala kwa wahusika yaani katika kitu ambacho watu wanafeli ni hapo, endapo wasipochanga kwa kiasi itakuyumbisha.
3. Usitegemee kamati ya watu mbalimbali.
4. Wengi wanataka kuonyesha ufahari wa matumizi ya pesa yanayozidi uwezo, mfano ukumbi wa milioni 5-10 kwa siku. Wanasahau sherehe ni siku moja na ndoa ni ya muda mrefu. Hivyo mkija kuachana daah, mbwembwe zote zinakwisha.
5. Fanya kitu ambacho uwezo wako unaendana nao.
Yangu ni hayo tu, ahsanteni.