Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,696
Kwanza, hakuna serikali inayokataa wananchi wake wasikosoe, ukosoaji upo lkn ukosoaji lazima uwe na staha, yaan constructive criticism.
Kwa mfano kama wafanyabiashara wamegoma ukiamua kukosoa unasema t kwa hapa serikali imekosea hiki na kile na unadhan wakifanya vile itakuwa vzr, ushauri wako utapokelewa vzr t.
Lakini unakosoa serikali huku ukiita viongozi wake wapumbavu, washenzi, wezi, wamejaa rushwa na matusi kibao hapo lazima utashughulikiwa
Hata nyiw Chadema, mbona watu wakimpimga Mbowe nyie mnawatukana, mnawapiga, mnawatenga sembuse serikali
Hv kwa mfano Rais wenu angekuwa Mr.Sugu, halaf mm najitokeza hadharani namtukana Rais Sugu kuwa ni shoga, ni mnyakyusa, hana uwezo wa kuongoza nchi, yaan kila anachosema Rais Sugu mm najitokeza kum crush.
Nyie mngeniacha niendelee kuchafua serikali ya Sugu?
Hakuna serikali hiyo duniani, lazima tuiheshimu serikali na tuikosoe kwa staha kwa nia ya kujenga.
Dhamira yoyote ya serikali duniani ni happiness kwa wananchi wake.Mliosoma Jurisprudence mnajua nikisema Utilitarianism.Serikali inapanga mipango mizuri lakn wapo baadhi ya watendaji wake sio waaminifu, sasa Rais asilaumiwe kwa uzembe wa watendaji, amewawajibisha na bado kazi inaendelea.
Tuache matusi, kebehi,dharau, udhalilishaji na upinzani wa kifala dhidi ya Serikali.
Mnatukuna serikali na kuchonganisha na wananchi wake halafu mnalalamika kuwa mnawindwa, cjui mnatekwa wakati mnajiteka wenyewe. Huo ndio ushauri wangu kwa wale radicals.
Kwa mfano kama wafanyabiashara wamegoma ukiamua kukosoa unasema t kwa hapa serikali imekosea hiki na kile na unadhan wakifanya vile itakuwa vzr, ushauri wako utapokelewa vzr t.
Lakini unakosoa serikali huku ukiita viongozi wake wapumbavu, washenzi, wezi, wamejaa rushwa na matusi kibao hapo lazima utashughulikiwa
Hata nyiw Chadema, mbona watu wakimpimga Mbowe nyie mnawatukana, mnawapiga, mnawatenga sembuse serikali
Hv kwa mfano Rais wenu angekuwa Mr.Sugu, halaf mm najitokeza hadharani namtukana Rais Sugu kuwa ni shoga, ni mnyakyusa, hana uwezo wa kuongoza nchi, yaan kila anachosema Rais Sugu mm najitokeza kum crush.
Nyie mngeniacha niendelee kuchafua serikali ya Sugu?
Hakuna serikali hiyo duniani, lazima tuiheshimu serikali na tuikosoe kwa staha kwa nia ya kujenga.
Dhamira yoyote ya serikali duniani ni happiness kwa wananchi wake.Mliosoma Jurisprudence mnajua nikisema Utilitarianism.Serikali inapanga mipango mizuri lakn wapo baadhi ya watendaji wake sio waaminifu, sasa Rais asilaumiwe kwa uzembe wa watendaji, amewawajibisha na bado kazi inaendelea.
Tuache matusi, kebehi,dharau, udhalilishaji na upinzani wa kifala dhidi ya Serikali.
Mnatukuna serikali na kuchonganisha na wananchi wake halafu mnalalamika kuwa mnawindwa, cjui mnatekwa wakati mnajiteka wenyewe. Huo ndio ushauri wangu kwa wale radicals.