Bakwata ni taasisi inayotambuliwa na serikali kama wawakilishi wa waislam Tanzania, kibaya zaidi ni kwamba viongozi wake wengi wanajua elimu akhera tu.Ninaishauri hii taasisi wafumue uongozi wote na kubadilisha katiba yao ili iendane na ulimwengu wa dunia.Nashauri waweke kigezo cha walau degree moja kwa kila kiongozi wa mkoa mpaka mufti.Na kuwepo na wataalamu wa kila Nyanja ili iendane na hali ya dunia kwa sasa ili iwe na mafanikio katika jamii na kiimani
Nwasilisha mada
Nwasilisha mada