Ushauri: Wanasiasa mnaojijua bado hamjamaliza Uhuni wenu mkiteuliwa na Rais muwe mnakataa ili msije Kumharibia na Kujiaibisha

Sharti moja wapo la kusema kwa mafumbo ni kuvaa khanga kwanza huku ikiwa imefungiwa kifuani pengine mleta mada naye amelitekeleza sharti hilo kwa moyo mmoja na kwa kulifurahia
 
Billy Clinton alikuwa malaya na akaitawala USA
kwa mila za kiafrika zip au kunyanyua sketi sio issue
tunachotaka ni utawalabora
Ndio maana tunataka semina za Ngurdoto km Rais wa awamu ya 4 alivyotupeleka
 
Kuna Mtu tokea akiwa Masomoni Chuo Kikuu niliambiwa kuwa alikuwa ni Mhuni ( Mpenda Ngono hovyo hovyo ) nikawa bado mgumu Kuamini.

Mtu huyo huyo tena akaniambia kuwa Mwanaume aliyenae sasa siyo wa Kwanza kwani alishakuwa na mwingine ila walishindwana kwa tabia yake ya kupenda Uhuni ( Ngono ) na akasema ipo Siku nitakuja Kumuamini.

Leo kuna Picha nimeiona mahala na kilichonichukiza zaidi ni kwamba Picha ya Nguo hiyo hiyo aliyoivaa akifanyia Uhuni wake wa Awali ( Denda ) ndiyo nimemuona akiwa nayo mahala fulani akihutubia ( akizungumza ) na Watendaji fulani fulani na sijajua hata alioga Saa ngapi kwani kuna wengine Wakilana Madenda Sirini ( Ikuluni ) mwao vile Vilainika vya Kibaiolojia huwa vinatoka ili kuonyesha Ushirikiano.

Nasikia kuna Cabinet Reshuffle Wikiendi hii au Wiki ijayo na kama nikiona Mheshimiwa Rais Samia hajambadilisha / hajamtoa hapo huyu Muhuni ( Mpenda Ngono ) basi nitaamini kweli kuna Watanzania wanajua Kuroga au wana Mizimu mikali.

Hakuna Jambo ambalo huwa linanikwaza zaidi Mightier Mimi pale kama nikiwa nampenda na Kumheshimu Mtu fulani na nikawa hata namtetea pale akisemwa vibaya nikaja kukuta kumbe ni kweli ana Matatizo na tabia za Kihuni ( Kifirauni )

Nimesitika huenda kuliko wengi wenu.
Gentamycine anasemaje kuhusu hilo ?
 
Kwahiyo Utendaji wa Waziri ukiwa ni mzuri ila nje katika Maisha yake binafsi anafanya Uhuni ( Ufirauni ) mwingi Ethically Kwako Wewe ni sawa sawa?

Kuna Watu ni Wapumbavu hadi najiuliza kwanini Mwenyezi Mungu alipoteza muda wake Kuwaumba na kuja kuwa Kero hivi kwa wenye Akili.
Mungu alimuumba Adam tu!!

Mungu alimfanya mtu(Eva/Hawa).

Sisi wengine ni matokeo yao,wengine ndoani,na wengine umalayani.

Usimuhusishe Mungu kwenye ujinga na upumbavu wa jamii ya sasa!!
 
Yule ni kabila moja na mwigulu, kitila mkumbo, dorothy, jairo kituntu, na nadhani sifa za mkoa wao unazijua hazitofautiani sana na wahaya, wanyiramba, wanyaturu, warangi, wambulu sasa unachoshangaa ni nini?
Wewe naona unawataka watu maneno. Una ushahidi na hayo unayoyasema? Una ushahidi kwamba makabila hayo yanapenda kusokotana?
 
Kuna Mtu tokea akiwa Masomoni Chuo Kikuu niliambiwa kuwa alikuwa ni Mhuni ( Mpenda Ngono hovyo hovyo ) nikawa bado mgumu Kuamini.

Mtu huyo huyo tena akaniambia kuwa Mwanaume aliyenae sasa siyo wa Kwanza kwani alishakuwa na mwingine ila walishindwana kwa tabia yake ya kupenda Uhuni ( Ngono ) na akasema ipo Siku nitakuja Kumuamini.

Leo kuna Picha nimeiona mahala na kilichonichukiza zaidi ni kwamba Picha ya Nguo hiyo hiyo aliyoivaa akifanyia Uhuni wake wa Awali ( Denda ) ndiyo nimemuona akiwa nayo mahala fulani akihutubia ( akizungumza ) na Watendaji fulani fulani na sijajua hata alioga Saa ngapi kwani kuna wengine Wakilana Madenda Sirini ( Ikuluni ) mwao vile Vilainika vya Kibaiolojia huwa vinatoka ili kuonyesha Ushirikiano.

Nasikia kuna Cabinet Reshuffle Wikiendi hii au Wiki ijayo na kama nikiona Mheshimiwa Rais Samia hajambadilisha / hajamtoa hapo huyu Muhuni ( Mpenda Ngono ) basi nitaamini kweli kuna Watanzania wanajua Kuroga au wana Mizimu mikali.

Hakuna Jambo ambalo huwa linanikwaza zaidi Mightier Mimi pale kama nikiwa nampenda na Kumheshimu Mtu fulani na nikawa hata namtetea pale akisemwa vibaya nikaja kukuta kumbe ni kweli ana Matatizo na tabia za Kihuni ( Kifirauni )

Nimesitika huenda kuliko wengi wenu.
We vipi, Ndo twapenda ivyo sie ccm , mauno n.k, utaki nenda Chama kingine
 
Back
Top Bottom