Salanga
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 364
- 44
poleni sana kwa mgao wa umeme tusiojua mwisho wake. Mimi nna mpango wa kujenga nyumba miaka ijayo maeneo ya vikindu mkuranga pwani. na sasa nasoma huku nikikusanya pesa taratibu. napenda kuomba ushauri wa namna ya kuhifadhi pesa hizo. wazo langu ilikuwa ni kununua viwanja kadhaa halafu baadaye niviuze kwa kwa faida dheni nijenge ktk kiwanja changu nilicho nacho tayari. wazo jingine ni kufungua fixed account katika pesa za kigeni ktk benki ambayo ina riba kibwa zaidi hapo tz. tafadhali wanajf naomba mwazo yenu ni nitawaweza kufanikisha hili; je benki gani wanatoa riba kubwa na ktk sarafu ipi? je ongezeko la bei za viwanja dar na pwani linazidi riba zitolewazo na mabenki ktk fixed account? NAWASILISHA...