Ushauri: Waliopoteza viti vya ubunge sasa jipangeni kuleta Demokrasia nje ya Bunge

KakaKiiza

JF-Expert Member
Feb 16, 2010
11,578
8,600
Nidhahiri hili lilipangwa kwani siyo bahati mbaya na kama mafunzo yakifanyinka kwa kipindi kirefu! na pia kura ilipigwa siku nyingi! na tanguy siku Polepole atangaze kuwa ushindi utakuwa 87% Nidhahili hili lilipangwa siku nyingi!

Hakuna cha kubadilisha kutokana na mfumo,na katiba yetu! Hivyo sasa huu ni wakati wakupigania demokrasia nje ya bunge kwa kupaza sauti. Hata hivyo niwakumbushe sasa kinachokuja, hata mikutano ya ndani itakuwa kwa kibali maalumu!

Mkae tayari. Pia katika kipindi cha mwisho wa muhula wa pili itapitishwa kwenye katiba ya kuondoa ukomo wa madaraka kwa rais na wabunge nao wataongezewa muda kutoka 5-8!

Sasa Tanzania hii imeishabadilika.
 
Kama wana akili hiyo.
Nawaombea wapotee kabisa katika ulimwengu wa siasa ili iwe somo.
 
Hiyo nguvu ya kuzungumza tena wanaipata wapi? Wameshakula hasara, kuna mmoja hata hajaanza kampeni alikuwa kashaanza kugawa pesa
 
Nidhahiri hili lilipangwa kwani siyo bahati mbaya na kama mafunzo yakifanyinka kwa kipindi kirefu! na pia kura ilipigwa siku nyingi! na tanguy siku Polepole atangaze kuwa ushindi utakuwa 87% Nidhahili hili lilipangwa siku nyingi!

Hakuna cha kubadilisha kutokana na mfumo,na katiba yetu! Hivyo sasa huu ni wakati wakupigania demokrasia nje ya bunge kwa kupaza sauti. Hata hivyo niwakumbushe sasa kinachokuja, hata mikutano ya ndani itakuwa kwa kibali maalumu!

Mkae tayari. Pia katika kipindi cha mwisho wa muhula wa pili itapitishwa kwenye katiba ya kuondoa ukomo wa madaraka kwa rais na wabunge nao wataongezewa muda kutoka 5-8!

Sasa Tanzania hii imeishabadilika.
Porojo tupu. Watanzania sio wajinga, waheshimiwe kwa maamuzi yao. Ukiachwa achika, inaonekana mmepata maruweruwe ya hatari. Jipangeni 2040.
 
Nidhahiri hili lilipangwa kwani siyo bahati mbaya na kama mafunzo yakifanyinka kwa kipindi kirefu! na pia kura ilipigwa siku nyingi! na tanguy siku Polepole atangaze kuwa ushindi utakuwa 87% Nidhahili hili lilipangwa siku nyingi!

Hakuna cha kubadilisha kutokana na mfumo,na katiba yetu! Hivyo sasa huu ni wakati wakupigania demokrasia nje ya bunge kwa kupaza sauti. Hata hivyo niwakumbushe sasa kinachokuja, hata mikutano ya ndani itakuwa kwa kibali maalumu!

Mkae tayari. Pia katika kipindi cha mwisho wa muhula wa pili itapitishwa kwenye katiba ya kuondoa ukomo wa madaraka kwa rais na wabunge nao wataongezewa muda kutoka 5-8!

Sasa Tanzania hii imeishabadilika.
Wacha upuuzi dogo, demokrasia ilitendeka kwa wananchi kutochagua wawakilishi uchwara. Waliochaguliwa ni wale ambao tunajuwa wanaweza kutuletea maendeleo waliyoshindwa kutuletea tuliowatupa nje. Tanzania upinzani bado sana, tuwaonee huruma tu waliobwaga.
 
Nidhahiri hili lilipangwa kwani siyo bahati mbaya na kama mafunzo yakifanyinka kwa kipindi kirefu! na pia kura ilipigwa siku nyingi! na tanguy siku Polepole atangaze kuwa ushindi utakuwa 87% Nidhahili hili lilipangwa siku nyingi
Mbowe alivosema ndani ya saa 72 atakuwa waziri mkuu, ilikuwa haijapagwa.?
 
Kama ndani ya bunge kwenye sheria zinazowalinda inakua kwa mikiki mikiki unadhani nje ya Bunge itaakua rahisi...




Cc: mahondaw
 
Back
Top Bottom