Ushauri wako

Ushauri wako

Lucas Mganda

JF-Expert Member
Joined
Mar 13, 2016
Posts
254
Reaction score
180
nimelima mpunga huko katavi mpanda ekari kama 10 pia ninataraji kununua mpunga ili nihifadhi bei ikipanda nauza lkn juzi nilikuwa naongea na jamaa yangu mmoja akaniambia kuwa kuna uwezekano serikali ikashusha bei ya vyakula je hii ina ukweli wowote?
 
Ndiyo vizuri bei ishuke. Nafuu kwetu walaji
nimelima mpunga huko katavi mpanda ekari kama 10 pia ninataraji kununua mpunga ili nihifadhi bei ikipanda nauza lkn juzi nilikuwa naongea na jamaa yangu mmoja akaniambia kuwa kuna uwezekano serikali ikashusha bei ya vyakula je hii ina ukweli wowote?
 
Acha kusikiliza maneno ya uswahilini, piga kazi soko la mchele haliwez kosekana. Ukisikiliza sn maneno ya mtaa utakata tamaa. Ongeza bidii na ufanisi, mali iko shambani
 
Back
Top Bottom