Ushauri wako ni muhimu

Aiseee sijawahi kutoa comment huku ila Leo inanibidi kwanza nikuulize swali unampenda mkeo au huyo mzazi mwenzio?Hapo cha muhimu kaa chini uongee na mkeo umwambie kila kitu,yeye ndo ataamua nini cha kufanya ni bora umwambie mapema kuliko aje kusikia kwa mtu mwingine
 

jamani sijaelewa mbona kama.umebambikiwa hiyo mimba wewe mara mimba inmkez minne so alijifungua njiti
 

mkuu ungekuwa muungwana ungeomba ushaur kabla ya kuanza mahusiano na huyo bint lakn ww leo unajifanya muungwana kwa kusema kuwa unashare mawazo ni baada ya maji kukufika shingon...
Na kumbuka kila aangamizaye kwa upanga ataangamia kwa upanga na muosha huoshwa.. Ila mm nakushaur tu mshukur sanna mungu na usiache kumwomba kwasababu ungekutana na mtu mwenye akili kama yangu adhabu yako ilikuwa risasi tatu kifuan
 
duuuh,,,hii ni hadith au mkasa!,,,kusoma inabd miwan,,,,any way pole kwa yote ila uyo binti atasumbuka sana na ww coz anaonekana kukupenda ww na sio uyo mme wake,,,jitahd ku-keep distance itasaidia angalau

Magombe...... Nashkur.. Ntajitajidi zaid ya hapa.. I will try for my next level
 

Naipenda familia yangu........ Sintosita kumwambia...... Ngoja nijipange nimwambie......
 
jamani sijaelewa mbona kama.umebambikiwa hiyo mimba wewe mara mimba inmkez minne so alijifungua njiti

Naithibitisha ni ya Kwangu kwa namna tarehe zilivyooana..... Pia ktk kila hatua alinijuza....... Meanwhile alikuwa mkweli kwenye baadh ya mambo.... Inanipa iman......
 

Sawa mkuu...... Nimeishi na watu wengi sana mpaka nimefika umri huu...... "As people are equal but not the same "....... Be blessed
 
Wewe achana nao tu ilitokea kama ajari basi usilazimishe kutoa matumizi ya mtoto akati dada wa watu wameoana badilisha namba ya simu na udil na mambo yako mkiendelea kuwasiliana jamaa anaweza kmudhuru mtoto, au mama na hata wewe pia
 
Wewe achana nao tu ilitokea kama ajari basi usilazimishe kutoa matumizi ya mtoto akati dada wa watu wameoana badilisha namba ya simu na udil na mambo yako mkiendelea kuwasiliana jamaa anaweza kmudhuru mtoto, au mama na hata wewe pia

Shamkware...... Nashukuru kwa ushauri wako........ Nitaufanyia kazi......
 
Naipenda familia yangu........ Sintosita kumwambia...... Ngoja nijipange nimwambie......

Ukisema umejimaliza mi naona piga kimya tu maana uzuri umehamishwa kazi kutoka Arusha kwenda moshi. Na binti si karudi bukoba? Wewe kausha tu maana ukiendelea kuongea na huyo binti jamaa anajaa sumu na atakuja kuwafanyia kitu kibaya wote watatu wewe mwanao na mkeo
 
Tafuta muda mzuri umweleze mkeo kwa upole kbsa naamini atakusikia, kama mfuko unaruhusu nendeni mbali mahali ambapo mtakuwa wawili TUBU KWA MUNGU NA KWA MKEO, jitahidi kwa nmna zote kukata mawasiliano na huyo bidada!! angalia namna nzuri ambayo itamfikia huyo mtoto lakini pia haitakuwa kikwazo kwa pande zote mbili!
 

Poa mkuu mi Nakuelewa............. Nashkur kwa ushauri
 

Nashkur kwa ushauri....... Kuntu.......
 
una uhakika gani

Kwel ni ngumu mwanamama ..... Lakini hili suala mara nyingi.... Ni kuaminiana..... Coz Ukisema Hivyo.... Inawezekana hata wa ndoa unakuta mtu Sio wako...... Na plan ya DNA ni mapema sana.....
 
Ayse nashindwa kushauri maana watumishi wengi wa umma ndo maisha yetu ukihamishwa mkoa unaacha familia ili ukatengeneze njia halafu tunakumbana na majaribu kama hayo. Ila kaka ulipopuuza condom ndo ulikaribusha tatizo. Siku zote mbwana weka condom kwenye begi kwa dharura kama silaha hasa ukiona kuna mazingira kama hayo maana wakati mwingine kichupa kikijaa na binti mzuri naye akijilengesha tunashindwa. Ila kosa lingine ulilofanya ni kukubali kutoa jina la baba yako kuwa la mtoto. Hiyo itaendelea kukuuma. Pia shukuru umehamishwa ofisi ili uwe mbali na huyo binti. Kuhusu vitisho zungumza na huyo binti ujue jamaa anawasiwadi gani kuhusu mtoto pia muwe na jibu 1 kwa jamaa wewe na huyo binti. Kama binti ataridhia kumuweka jamaa wazi basi uwe tayari kulea mtoto kwa uwazi umjulishe wife maana utaficha hadi lini wakati unataka mtoto na huku unatishiwa? Mfano kesho ukiuawa na huyo jamaa wife atawaeleza nini watoto wenu na hata ndugu zako?
 

Jenerali...... That's why ure General........ Hizi kazi. .... Itabidi niongeze umakini..... Nashkur kwa ushauri mkuu....
 

Tena huyo jmaa ni mpole sana,,mm ningeshakufanya kitu mbaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…