Kuna rafiki yangu aliomba pia katika kazi zile za FIRE aka jeshi la zima moto anauliza anaweza pia kuomba kazi hizi za uhamiaji maana mwajiri ni yule yule wizara ya mambo ya ndani.
To me naona anaweza coz ni post tofauti na aliyoomba mwanzo.akishindwa kuapply kwa kigezo cha mwajiri mmoja ina maana hatokaa aombe kazi kweny hiyo wizara ikitokea wametoa nafac tena.namshaur apply asiogope.
To me naona anaweza coz ni post tofauti na aliyoomba mwanzo.akishindwa kuapply kwa kigezo cha mwajiri mmoja ina maana hatokaa aombe kazi kweny hiyo wizara ikitokea wametoa nafac tena.namshaur apply asiogope.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.