Joninho
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 559
- 611
Habari wadau wote wa JF ni matumaini yangu mko salama Kwa uwezo wake Mwenyezi mungu, heshima kwenu wote.
Naomba kuwasilisha swala hili mahali hapa kwani nafahamu humu Kuna watu walio yapitia mengi, hivyo wengi mnauzoefu wa maswala mengi.
Baada ya kuhitimu shahada yangu ya kwanza nili rejea nyumbani kama mjuavyo ajira ni ngumu sana Kwa wakati huu, hivyo mzazi wangu alinipatia shilingi milioni mbili nianzishe shughuli yoyote maeneo ya karibu na nyumbani, hasa ufugaji wa kuku wa nyama sababu mabanda yapo na kabla ya kwenda chuoni mwaka 2014 ndio kazi Nilifanya nilipo malizia kidato cha Sita wakati nasubiri majibu na ilikua ina nilipa na soko nilauhakika.
Ila baada ya sasa kupewa hii pesa niliwasiliana na rafiki angu nilie maliza nae chuo tuka shauriana kutafuta shamba maeneo ya Morogoro tukaanzishe kilimo cha umwagiliaji, yeye atoe shilingi laki 7 na mimi hivyo hivyo.
Hapo ilibidi ni mgusie mzee wangu azma yangu ya kwenda kufanya kilimo hakuonyesha kuniunga mkono ktk jambo hilo.
Naomba ushauri wenu ktk jambo hili wadau maana pesa yenyewe ndio hiyo hiyo.
Naomba kuwasilisha swala hili mahali hapa kwani nafahamu humu Kuna watu walio yapitia mengi, hivyo wengi mnauzoefu wa maswala mengi.
Baada ya kuhitimu shahada yangu ya kwanza nili rejea nyumbani kama mjuavyo ajira ni ngumu sana Kwa wakati huu, hivyo mzazi wangu alinipatia shilingi milioni mbili nianzishe shughuli yoyote maeneo ya karibu na nyumbani, hasa ufugaji wa kuku wa nyama sababu mabanda yapo na kabla ya kwenda chuoni mwaka 2014 ndio kazi Nilifanya nilipo malizia kidato cha Sita wakati nasubiri majibu na ilikua ina nilipa na soko nilauhakika.
Ila baada ya sasa kupewa hii pesa niliwasiliana na rafiki angu nilie maliza nae chuo tuka shauriana kutafuta shamba maeneo ya Morogoro tukaanzishe kilimo cha umwagiliaji, yeye atoe shilingi laki 7 na mimi hivyo hivyo.
Hapo ilibidi ni mgusie mzee wangu azma yangu ya kwenda kufanya kilimo hakuonyesha kuniunga mkono ktk jambo hilo.
Naomba ushauri wenu ktk jambo hili wadau maana pesa yenyewe ndio hiyo hiyo.