USHAURI! Wakifuta kanisa lako ufanyeje?

USHAURI! Wakifuta kanisa lako ufanyeje?

Kitchener

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2019
Posts
13,823
Reaction score
27,694
Sisi wakristo huwa hatupigani kwa nguvu za mwili na nyama, Biblia hasa Yesu anaagiza kwanza tuwaombee mema wale wanaotuudhi na kuacha kisasi kiwe cha Mungu, sio chetu, vita vyetu ni kwa njia ya maombi kwa sababu anayepigana sio sisi, ni Mungu hivyo omba kwa Mungu apigane mwenyewe.

UFANYAJE SASA? Ninashauri usishindane na serikali, fanya ibada nyumbani kwako. HOW? fanyeni ibada kwa njia ya mtandao, bado unaweza kuwa na wafuasi kwa njia ya mtandao. Tengeneza mahubiri, sambaza kwa njia ya mtandao, kuna x (ambayo wameifungia ila inapatikana kwa VPN.), instagram, facebook na whatsapp, waumini sambazieneni mahubiri kwa whatsapp, facebook, twitter x na instagram. kwa njia hiyo mnaweza kufikia waumini wengi kuliko hata wale ambao wangefika kwenye majengo waliyowapiga stop msikusanyike.

MWISHO
: Lindeni brand ya Yesu, msifanye fujo, Mtu aliyeokoka huwa hafanyi fujo, huwa anapiga maombi rohoni Mungu aamue. hivo msopigane kimwili, msilazimishe mambo kimwili, msifanye fujo, mtachafua Jina la Yesu, lindeni brand ya Jina la Yesu ambaye hapendi fujo. Mungu awabariki.
 
Imeandikwa nyumba yangu itaitwa nyumba ya sala.
Nyumba ya Sala isigeuzwe viwanja vya mwembeyanga.
 
MIKA 6:8 6 Nimkaribie BWANA na kitu gani, na kuinama mbele za Mungu aliye juu? Je! Nimkaribie na sadaka za kuteketezwa, na ndama za umri wa mwaka mmoja? 7Je! BWANA atapendezwa na elfu za kondoo waume, au na elfu kumi za mito ya mafuta? Je! Nimtoe mzaliwa wangu wa kwanza kwa kosa langu, mzao wa mwili wangu kwa dhambi ya roho yangu? 8Ee mwanadamu, yeye amekuonyesha yaliyo mema; na BWANA anataka nini kwako, ila kutenda haki, na kupenda rehema, na kwenda kwa unyenyekevu na Mungu wako!

Serikali, mtu kukemea utekaji, uuaji, ana nia ya kupenda haki. pendeni haki, acheni dhurma. pia, msizuie watu makanisa zaidi ya 2000 kutumia haki yao ya kikatiba ya kuabudu, waacheni waabudu. pia, Mungu anawaona, na ndiye hakimu wa kweli.
 
Wakristo hawana jazba na munkari wa kupambambana na watesi wao. Wao ni maombi tu tena maombi ya kuwasamehe
 
Sisi wakristo huwa hatupigani kwa nguvu za mwili na nyama, Biblia hasa Yesu anaagiza kwanza tuwaombee mema wale wanaotuudhi na kuacha kisasi kiwe cha Mungu, sio chetu, vita vyetu ni kwa njia ya maombi kwa sababu anayepigana sio sisi, ni Mungu hivyo omba kwa Mungu apigane mwenyewe.

UFANYAJE SASA? Ninashauri usishindane na serikali, fanya ibada nyumbani kwako. HOW? fanyeni ibada kwa njia ya mtandao, bado unaweza kuwa na wafuasi kwa njia ya mtandao. Tengeneza mahubiri, sambaza kwa njia ya mtandao, kuna x (ambayo wameifungia ila inapatikana kwa VPN.), instagram, facebook na whatsapp, waumini sambazieneni mahubiri kwa whatsapp, facebook, twitter x na instagram. kwa njia hiyo mnaweza kufikia waumini wengi kuliko hata wale ambao7 wangefika kwenye majengo waliyowapiga stop msikusanyike.

MWISHO
: Lindeni brand ya Yesu, msifanye fujo, Mtu aliyeokoka huwa hafanyi fujo, huwa anapiga maombi rohoni Mungu aamue. hivo msopigane kimwili, msilazimishe mambo kimwili, msifanye fujo, mtachafua Jina la Yesu, lindeni brand ya Jina la Yesu ambaye hapendi fujo. Mungu awabariki.
Kama wafanyavyo kule home kwa ANTI BALAKA, Central Africa.
Walimuachia Mungu ajipiganie tena bila ya kumuomba, isionekane tumeshiriki kumpigania
 
NO REFORMS , NO ELECTION.

NO REFORMS , NO ELECTION.

NO REFORMS , NO ELECTION.

NO REFORMS , NO ELECTION.

NO REFORMS , NO ELECTION.

NO REFORMS , NO ELECTION.

NO REFORMS , NO ELECTION.

NO REFORMS , NO ELECTION.

NO REFORMS , NO ELECTION.

NO REFORMS , NO ELECTION.

NO REFORMS , NO ELECTION.

NO REFORMS , NO ELECTION.

NO REFORMS , NO ELECTION.

NO REFORMS , NO ELECTION.

NO REFORMS , NO ELECTION.

NO REFORMS , NO ELECTION.
BRAIN HEALTH PROBLEM
 
NO REFORMS , NO ELECTION.

NO REFORMS , NO ELECTION.

NO REFORMS , NO ELECTION.

NO REFORMS , NO ELECTION.

NO REFORMS , NO ELECTION.

NO REFORMS , NO ELECTION.

NO REFORMS , NO ELECTION.

NO REFORMS , NO ELECTION.

NO REFORMS , NO ELECTION.

NO REFORMS , NO ELECTION.

NO REFORMS , NO ELECTION.

NO REFORMS , NO ELECTION.

NO REFORMS , NO ELECTION.

NO REFORMS , NO ELECTION.

NO REFORMS , NO ELECTION.

NO REFORMS , NO ELECTION.
brain HEALTH pRobLEm
 
Back
Top Bottom