Naunga mkono hojaHii itasaidi hata zile dharau dharau za kurushiana vijembe na kuitana tumbili au profeser rubish maana kila mmoja atakuwa anamuheshimu mwenzake.
Nimewasilisha
we jamaa kumbe ukiwa serious unaandikaga nyuzi kama hii?Hii itasaidi hata zile dharau dharau za kurushiana vijembe na kuitana tumbili au profeser rubish maana kila mmoja atakuwa anamuheshimu mwenzake.
Nimewasilisha
Hii itasaidi hata zile dharau dharau za kurushiana vijembe na kuitana tumbili au profeser rubish maana kila mmoja atakuwa anamuheshimu mwenzake.
Nimewasilisha
Duuuuh.lengo lako tumzike ndugai?