Ushauri: Wabunge wakatwe posho zao kubwa kurusha matangazo ya TBC

kanone

JF-Expert Member
Oct 10, 2013
6,188
1,576
Naona hoja ya kurusha matangazo ya bunge TBC live nape ameangalia mambo mawili

1. Kupunguza gharama alizozitaja za bilionl 4 kwa mwaka ili zisaidie masikini.

2. Kuwapa watumishi wa umma kuudumia wananchi maana mimi mwenyewe leo nimeingia ofisi moja ya umma watumishi wanaangalia TV hawana habari na sisi tunaotaka huduma.

2. Nipo Kigoma vijiwe vyote tangu jana unakuta vimejaa vijawa wanaangalia bunge hawataki kufanya kazi na badara yake wanalia umasikini.

Lakini kwa ushauri wangu kwa Nape, japo yapo mengi lakini swala la gharama naona wabunge wanaopiga kelele wakatwe posho zao maana ni kubwa sana katika kubana matumizi ili hizo pesa zilipie gharama za kurusha matangazo na hizo bilioni 4 zipelekwe kwenye kaya masikini kuwasaidia.
 
NAONA HOJA YA KURUSHA MATANGAZO YA BUNGE TBC LIVE NAPE AMEANGALIA MAMBO MAWILI
1, KUPUNGUZA GHARAMA ALIZOZITAJA ZA BL 4 KWA MWAKA ILI ZISAIDIE MASIKINI,
2, KUWAPA WATUMISHI WA UMMA KUUDUMIA WANANCHI MAANA MIMI MWENYEWE LEO NIMEINGIA OFISI MOJA YA UMMA WATUMISHI WANAANGALIA TV HAWANA HABARI NA SISI TUNAOTAKA HUDUMA,
2, NIPO KIGOMA VIJIWE VYOTE TANGU JANA UNAKUTA VIMEJAA VIJAWA WANAANGALIA BUNGE HAWATAKI KUFANYA KAZI NA BADARA YAKE WANALIA UMASIKINI,
LAKINI
KWA USHAURI WANGU KWA NAPE
JAPO YAPO MENGI LAKINI SWALA LA GHARAMA NAONA WABUNGE WANAOPIGA KELELE WAKATWE POSHO ZAO MAANA NI KUBWA SANA KATIKA KUBANA MATUMIZI ILI HIZO PESA ZILIPIE GHARAMA ZA KURUSHA MATANGAZO NA HIZO BILIONI 4 ZIPELEKWE KWENYE KAYA MASIKINI KUWASAIDIA,

Kama unapita sehemu unaona watu wanafuatilia bunge hiyo ni safi, sasa Hivi tambua wananchi wameshajua maslahi yao yanatetewa wapi.

Kitendo cha wananchi kufuatilia bunge kwa karibu tayari ni hoja tosha ya kupangua hoja ya serikali kuwa bunge lisionyeshwe.
 
Kama unapita sehemu unaona watu wanafuatilia bunge hiyo ni safi, sasa Hivi tambua wananchi wameshajua maslahi yao yanatetewa wapi.

Kitendo cha wananchi kufuatilia bunge kwa karibu tayari ni hoja tosha ya kupangua hoja ya serikali kuwa bunge lisionyeshwe.

Asubuhi watu wanafatilia bunge badala ya kufanya kazi ? Baada ya kuangalia BUNGE jioni wanakula wapi? Je niwabunge wangapi wanapiga kelele bungeni lakini majimboni kwako hovyo uozo mtupu,jitambue watu wafanye kazi sio kuangalia BUNGE na jioni kuvizia nyumba za watu na kuiba
 
Naona hoja ya kurusha matangazo ya bunge TBC live nape ameangalia mambo mawili

1. Kupunguza gharama alizozitaja za bilionl 4 kwa mwaka ili zisaidie masikini.

2. Kuwapa watumishi wa umma kuudumia wananchi maana mimi mwenyewe leo nimeingia ofisi moja ya umma watumishi wanaangalia TV hawana habari na sisi tunaotaka huduma.

2. Nipo Kigoma vijiwe vyote tangu jana unakuta vimejaa vijawa wanaangalia bunge hawataki kufanya kazi na badara yake wanalia umasikini.

Lakini kwa ushauri wangu kwa Nape, japo yapo mengi lakini swala la gharama naona wabunge wanaopiga kelele wakatwe posho zao maana ni kubwa sana katika kubana matumizi ili hizo pesa zilipie gharama za kurusha matangazo na hizo bilioni 4 zipelekwe kwenye kaya masikini kuwasaidia.
Hiyo hoja yako ya namba 2 sijui 3 unayosema vijana wanaangalia bunge hawataki kufanya kazi, NA WEWE UKU UNAFANYA NINI BADALA YA KUFANYA KAZI? Kuwa na akili nukta(.) tabu sanaa.
 
Hilo ni wazo jema! Wakubali kukatwa posho!
Lakini ni pigo kwa UKAWA wanao penda kutafuta umaarufu kupitia TV
 
MKIMBIZI Tu Ww!!! Sasa Kama Umeona Vijana Huko Kwenu Hawataki Kufanya KAZI Kwa Sababu Ya Kutazama Bunge!!! HAPO Hapo Wabunge Wakatwe Posho Kugharamia Matangazo Hayo Hayo, Ambayo Umeona Hayana Maana!!!!! HUYO Waziri Wako Atakuelewa Kwa Lipi!!!?? ALAFU Bunge Ni Muhimili Unaojitegemea, Huyo Waziri Unayetaka Afanye Hivyo, Hana UBAVU Wala UWEZO Huo!!!! PIA Kwa Vile Ni Mkimbizi, Haujui Kama Kuna Mpango Wa TASAF, Ambao Unatoa Hizo PESA Kwa Kaya Masikini!!!! Na Mfuko Una Bajeti Yake Kama Ilivyo TBC!!!!! KAMA Ikiwa Hatufahamu Vitu, Basi Ni Bora Saana Kaa KIMYAA! KULIKO Kupayuka Tu Hovyo, Mwisho Mtu Ujikamatishe Kwa Uhamiaji Bure!!!
 
Naona hoja ya kurusha matangazo ya bunge TBC live nape ameangalia mambo mawili

1. Kupunguza gharama alizozitaja za bilionl 4 kwa mwaka ili zisaidie masikini.

2. Kuwapa watumishi wa umma kuudumia wananchi maana mimi mwenyewe leo nimeingia ofisi moja ya umma watumishi wanaangalia TV hawana habari na sisi tunaotaka huduma.

2. Nipo Kigoma vijiwe vyote tangu jana unakuta vimejaa vijawa wanaangalia bunge hawataki kufanya kazi na badara yake wanalia umasikini.

Lakini kwa ushauri wangu kwa Nape, japo yapo mengi lakini swala la gharama naona wabunge wanaopiga kelele wakatwe posho zao maana ni kubwa sana katika kubana matumizi ili hizo pesa zilipie gharama za kurusha matangazo na hizo bilioni 4 zipelekwe kwenye kaya masikini kuwasaidia.
Ushauri wa kijinga kupata kutokea toka mwaka uanze. Thamani ya wananchi kujua serikali yao inatekelezaje majukumu na inajibuje hoja ni kubwa kuliko Bil 4.
Kajipange au kapangiwe upya hoja yako
 
Kama in suala la Nazi, hizo TV zinazowekwa maofisini ni za nini? Maana ukiacha za mawizarani, mashirika, mabenki,hospitalini hata Ikulu zipo jee in kwa matumizi ya usiku Ofisi zikifungwa?
Sasa itakuja hoja kuwa vituo vya radio na TV vifunguliwe SAA 11 jioni
 
Nakupa tano mkuu, bonge la wazo amani iwe nawe, badala ya kukaa kulia lia kelele kibao wasitishe posho matangazo yarushwe moja moja.
 
Ushauri wa kijinga kupata kutokea toka mwaka uanze. Thamani ya wananchi kujua serikali yao inatekelezaje majukumu na inajibuje hoja ni kubwa kuliko Bil 4.
Kajipange au kapangiwe upya hoja yako

Wewe hewa tupu miaka yote ya jk wsmeonyesha sisi kama masikini tumefaidika nini? Wewe kama wewe kwenye kipato chako umefaidika nini?zaidi ya kuwapa faida wanasiasa mwenyewe na umaarufu lkn umasikini uko palepale?jitambue BL 4 zikija vijijini kwetu ni bora kuriko wanaoshinda vijiweni wakisikiliza nani kasema nini jioni wanageuka vibaka
 
Naona hoja ya kurusha matangazo ya bunge TBC live nape ameangalia mambo mawili

1. Kupunguza gharama alizozitaja za bilionl 4 kwa mwaka ili zisaidie masikini.

2. Kuwapa watumishi wa umma kuudumia wananchi maana mimi mwenyewe leo nimeingia ofisi moja ya umma watumishi wanaangalia TV hawana habari na sisi tunaotaka huduma.

2. Nipo Kigoma vijiwe vyote tangu jana unakuta vimejaa vijawa wanaangalia bunge hawataki kufanya kazi na badara yake wanalia umasikini.

Lakini kwa ushauri wangu kwa Nape, japo yapo mengi lakini swala la gharama naona wabunge wanaopiga kelele wakatwe posho zao maana ni kubwa sana katika kubana matumizi ili hizo pesa zilipie gharama za kurusha matangazo na hizo bilioni 4 zipelekwe kwenye kaya masikini kuwasaidia.
Hivi wewe ni mtu wa wapi husiye jua kuwa hata kama tbc inaendeshwa kwa kodi za watanzania including hao wabunge,hivi unajua nini umeandika au umekurupuka tu huko baada ya kubugia kayoga?
 
Kama in suala la Nazi, hizo TV zinazowekwa maofisini ni za nini? Maana ukiacha za mawizarani, mashirika, mabenki,hospitalini hata Ikulu zipo jee in kwa matumizi ya usiku Ofisi zikifungwa?
Sasa itakuja hoja kuwa vituo vya radio na TV vifunguliwe SAA 11 jioni
Mkuu mleta hoja ni mojawapo ya aina ya kina nape
 
Nakupa tano mkuu, bonge la wazo amani iwe nawe, badala ya kukaa kulia lia kelele kibao wasitishe posho matangazo yarushwe moja moja.

Mkuu nimejiwa wazo hii Leo baada ya kwenda kwenye ofisi ya UMMA watu hawatoi huduma wanabisha eti BUNGE lirushwe na wengine wakisema mbunge furani sijamsikia,nikaona kumbe ni faida ya wanasiasa bora wagalimikie wao
 
Mkuu mleta hoja ni mojawapo ya aina ya kina nape

Wewe ni mzigo tu unalipia wewe nimesema wabunge walipie wewe inakuwasha nini? Lkn BL 4 zianzishe Miradi vijijini kwa masikini ,
 
MKIMBIZI Tu Ww!!! Sasa Kama Umeona Vijana Huko Kwenu Hawataki Kufanya KAZI Kwa Sababu Ya Kutazama Bunge!!! HAPO Hapo Wabunge Wakatwe Posho Kugharamia Matangazo Hayo Hayo, Ambayo Umeona Hayana Maana!!!!! HUYO Waziri Wako Atakuelewa Kwa Lipi!!!?? ALAFU Bunge Ni Muhimili Unaojitegemea, Huyo Waziri Unayetaka Afanye Hivyo, Hana UBAVU Wala UWEZO Huo!!!! PIA Kwa Vile Ni Mkimbizi, Haujui Kama Kuna Mpango Wa TASAF, Ambao Unatoa Hizo PESA Kwa Kaya Masikini!!!! Na Mfuko Una Bajeti Yake Kama Ilivyo TBC!!!!! KAMA Ikiwa Hatufahamu Vitu, Basi Ni Bora Saana Kaa KIMYAA! KULIKO Kupayuka Tu Hovyo, Mwisho Mtu Ujikamatishe Kwa Uhamiaji Bure!!!
Kumbe na wewe umegundua kuwa ni mhamiaji?
 
Wabunge ni wawakilishi wetu sisi wananchi,kutokurusha matangazo nikutunyima haki yetu ya msingi yakupata habari namna gani mbunge wetu anatuwakilisha(kujua kero zetu.zipi ambazo ameishazisemea) n.k.
Serikali iliangalie hili jambo kwa maslahi.yetu wananchi
 
Sasa hivi tutaanzisha operation nyingine na tutaanzia huko huko uliko lazima tukurudishe kwenu

Nikusaidie lofa wewe Mimi ni MTU MKUBWA sana kwenye nchi hii usizani ni ujinga wako unaoufikilia
 
Wewe hewa tupu miaka yote ya jk wsmeonyesha sisi kama masikini tumefaidika nini? Wewe kama wewe kwenye kipato chako umefaidika nini?zaidi ya kuwapa faida wanasiasa mwenyewe na umaarufu lkn umasikini uko palepale?jitambue BL 4 zikija vijijini kwetu ni bora kuriko wanaoshinda vijiweni wakisikiliza nani kasema nini jioni wanageuka vibaka
Hivi kwa uelewa wako yaliyofichuliwa yote bungeni kama ingekuwa nyuma ya pazia ingekuwaje? What is 4 Bil kwa taifa kupata taarifa za bunge kwa mwaka mzima?
Kama unauchungu ungeanza kupigia kelele zile Bil 8 anazolipwa Singasinga amesupply au haja supply Umeme kila mwezi
 
Wabunge ni wawakilishi wetu sisi wananchi,kutokurusha matangazo nikutunyima haki yetu ya msingi yakupata habari namna gani mbunge wetu anatuwakilisha(kujua kero zetu.zipi ambazo ameishazisemea) n.k.
Serikali iliangalie hili jambo kwa maslahi.yetu wananchi
Maccm yanaona dawa ya kujisafishia njia ya kuendelea kuwepo madarakani ni kuwanyima wananchi kuangalia michango ya wabunge
 
Nikusaidie lofa wewe Mimi ni MTU MKUBWA sana kwenye nchi hii usizani ni ujinga wako unaoufikilia
No wonder nchi hii haiendelei, kumbe kuna watu wakubwa sana kwenye nchi hii halafu wana mawazo kama yako?
 
Back
Top Bottom