Bramo
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 13,160
- 10,007
Ni wizara ngapi zimepita bungeni huku uwepo wa Lema haujulikani ulipo?
Ina maana huoni umuhimu wa Lema kuwa ndani ya bunge na kutoa mchango wake kwenye hizo wizara zilizo pita bila ya yeye kuwepo?
Wana Arusha mjini angalieni hasara mliyo pata kwa kumchagua huyo mbunge wenu Lema.
We hujapata tu Mume.
Naona full kupapatika