Samedi Amba
JF-Expert Member
- Nov 13, 2018
- 227
- 178
Habari za leo,
Je, wewe ni mwanafunzi wa sekondari (A-level, au O-level) na unataka kuzama katika fani ya web design and development?
Je, wewe ni mwanafunzi chuoni, na unakaribia kugraduate, au bado upo chuoni kwa muda, lakini una njozi ya kufanya masuala ya web design and development?
Je umesomea VETA, ukapata basics za web design and development, na una haja ya kuingia kwa kina zaidi?
Je, upo uwanjani, lakini kuna vitu ambavyo huvielewi, au unatafuta namna ya kupractice kwa njia tofauti na ulivyokuwa ukifanya hapo awali? Au unataka kutumia technique za kisasa kutengeneza website kwa uwepesi zaidi na kwa gharama ndogo?
Basi usihofu, uzi huu ni kwa ajili yako. Kuwa huru kuuliza swali lolote. Nimekuwa uwanjani tangu 2010, na nitatumia uzoefu wangu kutoa msaada. Natambua kuwa kuna kaka zangu na dada zangu katika hili, nao pia ntawakaribisha kuchangia.
Karibu sana.
************************************************************************************************
In English:
Web/Systems Design and Development Career Advice
Are you a high school student who has an eye on pursuing a career in web design and development, but don't know what to do, or the career path to take?
Are you a college student, still studying or almost graduating, and would know what to expect in the field of web and software design/development?
Are you a VETA student who has gotten the basics of web design and development, and would like to take your career more seriously with the aim of making a breakthrough in this potential field?
Or are you a beginning professional who seeks to know the methodology to wade deeper into the waters of making life easier through sustainable software? Do you want to know tools that make web development faster and more affordable, as well as get smart ways to offer turnkey solutions that will better the digital landscape in Africa?
Then worry not, am here for you. I've spent 8 years in the field, have made mistakes, and will use the experience I've gotten to help you find your way. Ask questions and get the conversation going, am all ears (and so are many other abler/more established professionals in the field)