Pure Scientific
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 692
- 546
Habari ndugu.
Mimi ni kijana mdogo umri kati ya miaka 19~21 lakini dhumuni langu la kuja hapa nahitaji ushauri wenu kwa kuwa nimekuwa na hali ya kukubalika na jamii ya watu yaani namaanisha kunielewa pindi ninapowashauri kuhusiana masuala mbalimbali ya kimaisha kwa wanafunzi wenzangu na hata watu wasio na elimu tu.
Hivyo kwa hali hiyo nimekuwa nikitamani kuwa motivation speaker hapo baadae nikifanikiwa katika elimu yangu lakini nataka nianze ndoto(vision) yangu kwa majaribio(practise) kuanzia sasa hivyo ningependa kujua vitu gani ufanye ili utimize lengo
NB:kwa watakao nishauri nisingependa lugha za maudhi na kejeli
Mimi ni kijana mdogo umri kati ya miaka 19~21 lakini dhumuni langu la kuja hapa nahitaji ushauri wenu kwa kuwa nimekuwa na hali ya kukubalika na jamii ya watu yaani namaanisha kunielewa pindi ninapowashauri kuhusiana masuala mbalimbali ya kimaisha kwa wanafunzi wenzangu na hata watu wasio na elimu tu.
Hivyo kwa hali hiyo nimekuwa nikitamani kuwa motivation speaker hapo baadae nikifanikiwa katika elimu yangu lakini nataka nianze ndoto(vision) yangu kwa majaribio(practise) kuanzia sasa hivyo ningependa kujua vitu gani ufanye ili utimize lengo
NB:kwa watakao nishauri nisingependa lugha za maudhi na kejeli