Ushauri wa haraka sana unaitajika.

Mkuu ingia love connect utapata mke. Ila huo mshahara. .maisha yet mjini. .af u-plus mke doh
 
we BABU KIZEE mara hii umeshapandishiwa mshahara wa kazi yako ya ulinzi? (alisema kipato chake ni elfu 30 kwenye jukwaa la biashara)
 
Last edited by a moderator:
kuna marupu rupu yoyote unayopata ukiacha mshahara wako? najaribu kufikiria ushauri wa haraka wa kukupatia.
 
Mkuu utakuwa na matatizo mdomo zege cku.utasikia wanaulizia wewe umeoa au we we ukutaninao?
 
posho ya 300,000 kwa wabunge haitoshi lakin 350,000 kwa mwez eti itamtosha.
rudi kijijin utafute mke huko wamejaa tele
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…