naliwe
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 647
- 800
Wakati Niko advance nilichukua masomi ya EGM,hesabu zilikua tatizo sana kwangu hadi kunipelekea kupata F ya hesabu masomo mengine nilipata A yani (economic A,Geography A)
Katika pilika za maisha nikawa nikipata muda nikawa najaribu kupitia vitabu mbalimbali vya hesabu kutoka form one,form six hadi vyuo vikuu
Baada ya miaka saba nikajikuta nazijua hesabu kiasi kwamba hata baadhi ya walimu nawasaidia punde wanapokwama jinsi ya kusolve baadhi ya maswali hasa ya advanved mathematics na vyuo,ninawafundisha wana vyuo wengi sana,napata hela nyingi sana
Tatizo linakuja kale ka F cha hesabu nilichokipata advance je naweza kurudia mtiani huo maana kila nikiona cheti changu cha A level kinakosesha amani
Kitu kilichonifanya niandike huzi huu ni kutaka tu kupata ushauri kua sasa ivi nna degree je naweza kurudia mtiani wa form six hasa wa hesabu maana naamini kabisa nnauwezo wa kujibu maswali yote kwa usahihi kabisa ili nifute lile kosa,
Nataka jamii initambue kua na Mimi ni mmoja wa wataalam wa masuala ya hisabati Tanzania
Naliwe wa lumumba
Katika pilika za maisha nikawa nikipata muda nikawa najaribu kupitia vitabu mbalimbali vya hesabu kutoka form one,form six hadi vyuo vikuu
Baada ya miaka saba nikajikuta nazijua hesabu kiasi kwamba hata baadhi ya walimu nawasaidia punde wanapokwama jinsi ya kusolve baadhi ya maswali hasa ya advanved mathematics na vyuo,ninawafundisha wana vyuo wengi sana,napata hela nyingi sana
Tatizo linakuja kale ka F cha hesabu nilichokipata advance je naweza kurudia mtiani huo maana kila nikiona cheti changu cha A level kinakosesha amani
Kitu kilichonifanya niandike huzi huu ni kutaka tu kupata ushauri kua sasa ivi nna degree je naweza kurudia mtiani wa form six hasa wa hesabu maana naamini kabisa nnauwezo wa kujibu maswali yote kwa usahihi kabisa ili nifute lile kosa,
Nataka jamii initambue kua na Mimi ni mmoja wa wataalam wa masuala ya hisabati Tanzania
Naliwe wa lumumba