Kumbe ni dada?!, mimi nawapendaga sana watu wa aina hii wenye matatizo, kwa sababu specialization yangu ni kutatua matatizo ya watu, nitampataje nimsaidie?. Kama anataka kupiga pesa msibani, basi tatizo lake kubwa nimeishalijua na liko ndani ya uwezo wangu!.
P.