Vituka
JF-Expert Member
- Nov 9, 2011
- 2,257
- 1,247
Habari zenu waja JF.
Naombeni ushauri wenu wa haraka haraka.
Nilikuwa na camera ya mpenzi wangu, of course nilikuwa natumia kupiga picha za harusi ya my sis. Sasa ikatokea ile camera card ina virus na ikawa inagoma kufunguka. Nikawatafta watu wenye hayo mautundu waka recover picha zote. Few minutes ago nikawa nacheki picha ndo nikagundua kuna video clips pia. Kucheki nimekuta kuna clips ambazo amempiga wanamke akiwa uchi, na hata sauti ni yakwake na pia chumba walichopo ni chake huyo mpenzi wangu. Ebu fasta fasta nishaurini nifanyeje?
Hii kitu bado mbichi kabisaa!
NOTE:Tulikuwa tumeachana toka mwaka jana mwanzoni, but kifupi we were in the process kurudiana.
Naombeni ushauri wenu wa haraka haraka.
Nilikuwa na camera ya mpenzi wangu, of course nilikuwa natumia kupiga picha za harusi ya my sis. Sasa ikatokea ile camera card ina virus na ikawa inagoma kufunguka. Nikawatafta watu wenye hayo mautundu waka recover picha zote. Few minutes ago nikawa nacheki picha ndo nikagundua kuna video clips pia. Kucheki nimekuta kuna clips ambazo amempiga wanamke akiwa uchi, na hata sauti ni yakwake na pia chumba walichopo ni chake huyo mpenzi wangu. Ebu fasta fasta nishaurini nifanyeje?
Hii kitu bado mbichi kabisaa!
NOTE:Tulikuwa tumeachana toka mwaka jana mwanzoni, but kifupi we were in the process kurudiana.