Ushauri wa bure

HAKI HAIPOTE

Member
Joined
Aug 3, 2017
Posts
54
Reaction score
41
Ndg wana bodi
Siku za hivi karibuni kumekuwa .na hamahama ya wanasiasa hapa nchini na kufikia hatua ya kuanza utumwa wa siasa yaani slave trade. Wahenga walisema ukiona kiza kimezidi ujue kunakaribia kupambazuka, ni kweli kwa hali iliyopo sasa nchini ni dhahiri ushindi kwa chadema uko inje inje yaani wakipatia tu njia kidogo basi hali kwao nzuri. Kwa sasa ccm inatumia mamlaka za kiserikali kutafta ushindi jambo ambalo ni rahisi sana kulinyamazisha. Jmabo la kufanya kwa sasa kwa chadema ni kuacha kutegemea wanachama toka ccm ukiangalia kwa harakaharaka utagundua wengi waliohama ni wale walokua ccm mwanzo na hivyo kukosa itikadi za chadema kwa sasa chadema ijikte katika kufua vijana wanachama chipukizi wapya kuliko kutegemea kina wema ambao tunawapokea kwa mbwembwe na hawaijui chadema vizuri
Nawasilisha
 
Kabisa....

Halfu kingine ambacho naweza kushauri Wapinzani wasusie uchaguzi Mkuu ujao 2020 upepo huu upite kwanza,Kwa hali ilivyo sasa hakuna Mbunge yoyote wa upinzani atakayetangazwa hata kama ameshinda kihalali.....
 
Ushauri mzuri sana huu, swali ni jee Chadema inasikiliza

Huu ndio ukweli wenyewe. Hebu tuchangie bila povu wajameni.

Mkuu Magonjwa Mtambuka, asante sana kwa hii kitu. Huyu ni mmoja wa ma Prof wa ukweli ninao waaminia, hivyo naunga mkono hoja ya Prof. Safari.

Tulisema humu akina sisi,

Kuna kitu hapa kilisemwa na Masha

Kikapuuzwa, sasa leo kusema Prof. Safari, haya sasa manazi wa Chadema, njooni mumponde kama kawaida yenu.

Mkiambiwa
Mnakasirika

P.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…