Ushauri wa bure: Umri na ndoa

Ushauri wa bure: Umri na ndoa

Jakaya Mungu wako?????????????????????? acha ujinga

ungesumbua akili yako japo kidogo,nimeweka mfano wa jakaya sababu wengi wetu tumemuona akiwa na mkewe,na hiyo tofaut ya umri haionekani,tatizo tuition zimewaharibu kuchambua jambo imekua tabu kizazi nyie...kajinga kamoja!
 
Mtoa mada na wanao kusapoti nina shaka na uwelewa wenu..
Hata siku moja usiweke kigezo cha umri kama kipimo cha maarifa baina ya mwanaume na mwanamke..wewe utakua ni kilaza nambari moja..

Uwelewa na hekma ya me/ke ni mazingira alipokuziwa sio miaka(range)

Na kama ni miaka wadada wengi below 30yrs ni vilaza wakutupa tegemezii..
 
Wanawake wanakua haraka na kupitia vitu vingi kabla ya mwanaume so kuwa mwanamke mnae lingana kiukweli anakuwa amepitia vitu vingi kuliko ww so anakuwa kama amekuzid vile
 
Wanawake ni werevu kwa mambo ya mahusiano(emotional intelligence),husichanganye na werevu wa kiakili(logical intelligence).
Wanaume wapo werevu kwa mambo yote yasiyohusiana na hisia/emotions.....kwa ufupi wako logically intelligent........google is your friend.
 
Mpo?

Ni ukweli usio na pingamizi japo mchungu kuwa mwanamke anakomaa kiakili kuliko mwanaume.
Mwanamke wa miaka 20 ana akili sawa na mwanaume wa miaka 28.

Hii imekuwa sababu kubwa ya wanandoa kutalakiana. Mwanaume anapooa mwanamke wa rika lake, hapo hajaoa mke bali mshirika aliyemzidi kiakili, kiubunifu na mengineyo.

Itakuwa bora kama anayetarajia kuoa au kuolewa atafute aliyepishana naye kwa miaka ikipungua sana 10.(mume amzidi mke)

Mambo ya ushugadaddy na ushugananny waachie masharobaro!

Mm nilivyofundishwa na mwalimu wangu wa fasihi alisema mwanamke hupevuka m?aka mitatu zaidi ya mwAnaume hivyo ni vizuri kumuoa mwanamke unayemzidi miaka kuanZia mitatu kwenda mbele....
 
Wanawake wanakua haraka urefu na ujanja wa kutoambwa. Otherwise kichwani kila mtu ana uwezo wake iwe msichana au mvulana. Kuoa mwanamke aliyekuzidi au hajakuzidi umri haijalishi kama mnapendana mnaishi tu.
 
Hahahahahahahahaha....mkuu mimi nilikuwa na agemate wangu kumbe nilikuwa nimebugi.hila sio mbaya nimetoka mbio za usain bolt
 
Thats veryyyyyy true, tena sio umri tu, umpite na pesa na elimu pia.
 
Haha..nilijua tu utaongezea vya kwako ukipita hapa.

Hivyo vya msingi mnooo pacha wangu, hawa viumbe ikiwapita chochote ni matatizo, fuuuul kujistukia, wanakuwa insecure hatari.
 
ungesumbua akili yako japo kidogo,nimeweka mfano wa jakaya sababu wengi wetu tumemuona akiwa na mkewe,na hiyo tofaut ya umri haionekani,tatizo tuition zimewaharibu kuchambua jambo imekua tabu kizazi nyie...kajinga kamoja!
kuwa na adabu...
 
20 yrs? they still too young to handle what's so called marriage...in fact they think bigger
 
Mpo?

Ni ukweli usio na pingamizi japo mchungu kuwa mwanamke anakomaa kiakili kuliko mwanaume.
Mwanamke wa miaka 20 ana akili sawa na mwanaume wa miaka 28.

Hii imekuwa sababu kubwa ya wanandoa kutalakiana. Mwanaume anapooa mwanamke wa rika lake, hapo hajaoa mke bali mshirika aliyemzidi kiakili, kiubunifu na mengineyo.

Itakuwa bora kama anayetarajia kuoa au kuolewa atafute aliyepishana naye kwa miaka ikipungua sana 10.(mume amzidi mke)

Mambo ya ushugadaddy na ushugananny waachie masharobaro!

Sio kweli. ukweli ni kwamba ni vema mwanaume akaoa mwanamke anayemzidi umri angalau kidogo (miaka 2 hadi 5) kwa kuwa ni wanaume wengi ndio wanaokufa mapema kuliko wanawake.
 
Huo ndio ukweli wenyewe anizidi miaka kumi, vijana wanazingua tu!
 
Back
Top Bottom