Ushauri wa bure: Umri na ndoa

Ushauri wa bure: Umri na ndoa

kwahiyo unataka kutuambia kuwa anaye
oa mwanamke mwenye 28 yrz anakuwa
anafikili kama mwanaume mwenye miaka 56..??
mkuu huo mtizamo wako ni "too local ".

Hujaelewa hoja hapo, una miaka mingapi wewe? Zisije kuwa ndo akili zisizokomaa
 
Hiyo tafiti ya akili imefanyika wapi?
Tunaoa wanawake tuliowapita umri sababu wanawake wakizaa wanawahi kuchoka/kuzeeka

Pole kwa kudhani hivyo, ukweli ndo amesema mtoa mada. Wanawake wana akili ya maisha inayokomaa haraka kuliko mwanaume.
We mwache nyumbani mtoto wa kike hata wa 7 years na umpe kazi na umwache wa kiume. Utarudi wa kiume hata amesahau aliambiwa nini hata kama ni cha faida yake utakuta tofauti na maagizo.
 
Pole kwa kudhani hivyo, ukweli ndo amesema mtoa mada. Wanawake wana akili ya maisha inayokomaa haraka kuliko mwanaume.
We mwache nyumbani mtoto wa kike hata wa 7 years na umpe kazi na umwache wa kiume. Utarudi wa kiume hata amesahau aliambiwa nini hata kama ni cha faida yake utakuta tofauti na maagizo.

Huo ukilaza wenu wengine hatuna kabisa,na kama kukomaa akili wengine tuko mbali japo tuna umri mdogo.
 
Huo ukilaza wenu wengine hatuna kabisa,na kama kukomaa akili wengine tuko mbali japo tuna umri mdogo.

Anayeona akili yako kama imekomaa au la ni yule nayekuona na anayetafakari matendo na maamuzi yako sio wewe. Unajidanganya kama unajipima mwenyewe
 
Sidhani kama mwanamke wa umri mmoja anamzidi mwanaume akili sikubaliani na wewe kwa hili ila nakubali inatakiwa kuwa na gap la 5-10yrs for healthy relationship, How? Mwanamke akiwa sawa au akikuzidi atataka kukukaa kichwani au mtashindana katika makubaliano kadhaa la pili wanawake wanazeeka mapema zaidi ya wanaume
 
Tofauti kati ya miaka ya miaka 10 ni nzuri, wanawake wa kiafrica wanazeeka mapema japo wewe umetumia kipimo cha akili. Na ukimzidi sana miaka utaonekana umeoa mwanao au mjukuu!.

Kuna JIRANI hapa kaoa nyanya yake.

Hadi anaonewa huruma!
 
Sidhani kama mwanamke wa umri mmoja anamzidi mwanaume akili sikubaliani na wewe kwa hili ila nakubali inatakiwa kuwa na gap la 5-10yrs for healthy relationship, How? Mwanamke akiwa sawa au akikuzidi atataka kukukaa kichwani au mtashindana katika makubaliano kadhaa la pili wanawake wanazeeka mapema zaidi ya wanaume

Sio kukukaa kichwani, ni kwamba anaona mambo ya kitoto na kijinga unayofanya kwa kuwa uelewa wake unakuwa umepanuka kukuzidi ndo anaingilia kati mambo wakati wewe unajiona uko sahihi.
 
Mpo?

Ni ukweli usio na pingamizi japo mchungu kuwa mwanamke anakomaa kiakili kuliko mwanaume.
Mwanamke wa miaka 20 ana akili sawa na mwanaume wa miaka 28.

Hii imekuwa sababu kubwa ya wanandoa kutalakiana. Mwanaume anapooa mwanamke wa rika lake, hapo hajaoa mke bali mshirika aliyemzidi kiakili, kiubunifu na mengineyo.

Itakuwa bora kama anayetarajia kuoa au kuolewa atafute aliyepishana naye kwa miaka ikipungua sana 10.(mume amzidi mke)

Mambo ya ushugadaddy na ushugananny waachie masharobaro!

Naungana nawe mkuu kwa asilimia zote. Nasema hivi kutokana na ambavyo nilijaribu kulinganisha uelewa wangu katika masuala ya mapenzi na hata mambo ya kijamii na demu zangu wawili tofauti kwa nyakati tofauti lakini pia kwa watu wengine tofauti tofauti; mbali zaidi hata kulinganisha uelewa wa mambo mbalimbali kati ya mtoto wa kike na wa kiume wenye umri unaoendana ama tofautina kidogo. Nilichobaini ni kwamba mtoto wa kike anakomaa kiakili haraka sana zaidi ya mwanaume hivyo kumfanya aelewe mambo mengi sana kuliko mwanaume wa rika lake hivyo kuoa mwanamke unaetofautiana nae miaka 0-3 ni sawa na kumuoa dada yako aliyekuzidi miaka kumi na mwenye uelewa wa juu sana katika masuala ya kimahusiano na kimapenzi. Na ndo maana wengi wa wanandoa wakigombana unakuta mwanamke analalamika kwa kusema, "mme wangu/baba X ana akili na mambo ya kitoto" inakuwa hivi kwa sababu kweli kabaini na anaona dhahiri mmewe anafanya mambo ya kitoto na ya kitoto kweli ukilinganisha na uelewa wa mke.
Hivyo naungana nawe kabisa mke wa kuoa ni vyema ukamzidi miaka kati ya 8 na 12.
 
Wanawake wa miaka hii sio wale wa zamani, labda kuna exceptional. Katika hilo la akili, sio miaka hii. Wengi wana akili za kitoto tu ilhali washakuwa wakubwa.

Labda useme physical appearance, niliwahi kudate na mtoto 10yrs younger lakini hakuna aliyesema ninabaka, miili yetu iliendana kawaida tu, lakini kiakili hakukuwa na kitu. Utoto na ujinga mwingi.
 
Mnaojifanya kubisha mnapima akili ya kwa kipimo cha darasani...! Ni maisha kwenye live performance acha kukariri huko chekechea na msingi...
 
Mtoa mada yuko sahihi biological mwanamke ameumbwa na akili nyingi kuliko men,,ndo maana ukikuta msichana anaongoza darasan kuanzia darasa la kwanza n mpka chuo atakuwa vizur lkn n quite different na wanaume akil zetu ziko chin kwa uwezo alio nao mwanamke ss wanaume nguvu zetu na akil zote ziko katika kuangalia mali zaid,,, Tatizo la mwanamke pamoja na kuwa na akil nyingi n mwepes sana kushawishika pamoja kusahau kwa urahis sana..
 
Wanawake tunawakomaza wenyewe, wanapitia changamoto nyingi sana hawa wadudu, kwa siku anaweza kutongozwa na watu 10 kila mtu anakuja na uongo wake . Akili isikomae mchezo
 
Wanawake wa miaka hii sio wale wa zamani, labda kuna exceptional. Katika hilo la akili, sio miaka hii. Wengi wana akili za kitoto tu ilhali washakuwa wakubwa.

Labda useme physical appearance, niliwahi kudate na mtoto 10yrs younger lakini hakuna aliyesema ninabaka, miili yetu iliendana kawaida tu, lakini kiakili hakukuwa na kitu. Utoto na ujinga mwingi.

Teh mimi nasema brod darling " ulimbaka"
 
Toeni basi hiyo mifano yenyewe ya akili za wanawake isije ikawa tunatafsiri tofauti za hilo neno akili
 
Mtoa mada yuko sahihi biological mwanamke ameumbwa na akili nyingi kuliko men,,ndo maana ukikuta msichana anaongoza darasan kuanzia darasa la kwanza n mpka chuo atakuwa vizur lkn n quite different na wanaume akil zetu ziko chin kwa uwezo alio nao mwanamke ss wanaume nguvu zetu na akil zote ziko katika kuangalia mali zaid,,, Tatizo la mwanamke pamoja na kuwa na akil nyingi n mwepes sana kushawishika pamoja kusahau kwa urahis sana..

Sasa inakuaje leo wanaimba nyimbo ya wakiwezeshwa wanaweza???
 
Back
Top Bottom