Ushauri wa bure: Umri na ndoa

Ushauri wa bure: Umri na ndoa

Kiluuj

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2015
Posts
692
Reaction score
278
Mpo?

Ni ukweli usio na pingamizi japo mchungu kuwa mwanamke anakomaa kiakili kuliko mwanaume.
Mwanamke wa miaka 20 ana akili sawa na mwanaume wa miaka 28.

Hii imekuwa sababu kubwa ya wanandoa kutalakiana. Mwanaume anapooa mwanamke wa rika lake, hapo hajaoa mke bali mshirika aliyemzidi kiakili, kiubunifu na mengineyo.

Itakuwa bora kama anayetarajia kuoa au kuolewa atafute aliyepishana naye kwa miaka ikipungua sana 10.(mume amzidi mke)

Mambo ya ushugadaddy na ushugananny waachie masharobaro!
 
Mh...mkuu hizo akili za mwanamke umezipima kwa kipimo gani??
 
Huo ni ukweli usio na ubishi. Akili ya mwanamke unaye lingana naye umri ni zaidi yako mwanaume. Tofauti ya miaka 5-10 ni sawa kabisa.
 
Tofauti kati ya miaka ya miaka 10 ni nzuri, wanawake wa kiafrica wanazeeka mapema japo wewe umetumia kipimo cha akili. Na ukimzidi sana miaka utaonekana umeoa mwanao au mjukuu!.
 
Mpo?

Ni ukweli usio na pingamizi japo mchungu kuwa mwanamke anakomaa kiakili kuliko mwanaume.
Mwanamke wa miaka 20 ana akili sawa na mwanaume wa miaka 28.

Hii imekuwa sababu kubwa ya wanandoa kutalakiana. Mwanaume anapooa mwanamke wa rika lake, hapo hajaoa mke bali mshirika aliyemzidi kiakili, kiubunifu na mengineyo.

Itakuwa bora kama anayetarajia kuoa au kuolewa atafute aliyepishana naye kwa miaka ikipungua sana 10.(mume amzidi mke)

Mambo ya ushugadaddy na ushugananny waachie masharobaro!


kwahiyo unataka kutuambia kuwa anaye
oa mwanamke mwenye 28 yrz anakuwa
anafikili kama mwanaume mwenye miaka 56..??
mkuu huo mtizamo wako ni "too local ".
 
Hiyo tafiti ya akili imefanyika wapi?
Tunaoa wanawake tuliowapita umri sababu wanawake wakizaa wanawahi kuchoka/kuzeeka
 
Mkuu acha uongo... acha kuongea vitu ambavyo haujawai ku experience....

Nakupa wimbo ukasikilize umeimbwa na marehemu aliyah unaitwa "Age is just a number"
 
Mkuu acha uongo... acha kuongea vitu ambavyo haujawai ku experience....

Nakupa wimbo ukasikilize umeimbwa na marehemu aliyah unaitwa "Age is just a number"

So U thnk I dont know the song?
Nitakupatia mfano. Angalia your age mates(kama uko above 20) na uniambie wako wapi, wako na watoto wangapi. Na wewe?

Ni ngumu kumeza lakini ndio ukweli wa mambo.
 
Asee kama hujitambui,uelewa wako ni mdogo na pia unahisi wale madada uliolingana nao umri wamekuzidi akili,ni wewe tu usituchanganye na wengine.
 
So U thnk I dont know the song?
Nitakupatia mfano. Angalia your age mates(kama uko above 20) na uniambie wako wapi, wako na watoto wangapi. Na wewe?

Ni ngumu kumeza lakini ndio ukweli wa mambo.

Kwahiyo kuwa na watoto ndo kuwa na akili?
 
Mpo?

Ni ukweli usio na pingamizi japo mchungu kuwa mwanamke anakomaa kiakili kuliko mwanaume.
Mwanamke wa miaka 20 ana akili sawa na mwanaume wa miaka 28.

Hii imekuwa sababu kubwa ya wanandoa kutalakiana. Mwanaume anapooa mwanamke wa rika lake, hapo hajaoa mke bali mshirika aliyemzidi kiakili, kiubunifu na mengineyo.

Itakuwa bora kama anayetarajia kuoa au kuolewa atafute aliyepishana naye kwa miaka ikipungua sana 10.(mume amzidi mke)

Mambo ya ushugadaddy na ushugananny waachie masharobaro!

Ni kweli, akili za wanaume ni ndogo ukilinganisha na mwanamke wa umri wao.
Kuna vitu mwanaume anafanya vinaonekana vya kitoto kwa mtu aliyemzidi ufahamu ndio chanzo cha wanawake kutofuata maelekezo ya baadhi ya wanaume hasa waume zao.
 
Back
Top Bottom