Nimekuwa nikifuatilia Mjadala unaondelea kati ya Askofu Kakobe na Serikali, nafikiri hoja ya Askofu Kakobe kwamba viongozi / Kiongozi wa Serikali atubu imesikika kama kweli kuna jambo linalohitaji kutubu, Viongozi wa Serikali hawapaswi kujiona wao ni malaika hawatendi makosa na hawahitaji kutubu, mbingu ztawahukumu.
Kwa jinsi Mjadala unavyoendelea na watetezi wa Serikali wanavyoongezeka kila siku ,sina uhakika kama wanafanya kwa mapenzi walionayo kwa serikali au wanafanya huo utetezi kumfurahisha mtawala /watawala, kwa utetezi wao usio na hoja za kimbingu, (maana accusation ni za kimbingu ) hao watetezi ndo wanazidi kuufanya Mjadala uwe hot na kucreate Public attention, sasa hivi TRA nao wameingia Kwenye mkumbo huo, yote hii italeta Public sympathy kwa Askofu Kakobe kwamba anaonewa ,na kibaya zaidi kuna watu wanamwamini kwa kila atakachowaambia, na vile vile itaonekana ni vita ya serikali dhidi ya dini kitu ambacho haitaleta picha nzuri, na huenda Kakobe ameishaligundua hilo na ndicho anachotaka, it is a trap, Serikali should be so smart to see this and stay away from it.
Pia ule upande wa pili unaotegemea siasa za matukio unafurahia kwa kinachoendelea, fatilieni tweet za some of officials. Hii isiwe na isionekane ni vita ya kiimani, Kakobe et al waachwe waongee na Serikali isijibishane nao.
Kwa jinsi Mjadala unavyoendelea na watetezi wa Serikali wanavyoongezeka kila siku ,sina uhakika kama wanafanya kwa mapenzi walionayo kwa serikali au wanafanya huo utetezi kumfurahisha mtawala /watawala, kwa utetezi wao usio na hoja za kimbingu, (maana accusation ni za kimbingu ) hao watetezi ndo wanazidi kuufanya Mjadala uwe hot na kucreate Public attention, sasa hivi TRA nao wameingia Kwenye mkumbo huo, yote hii italeta Public sympathy kwa Askofu Kakobe kwamba anaonewa ,na kibaya zaidi kuna watu wanamwamini kwa kila atakachowaambia, na vile vile itaonekana ni vita ya serikali dhidi ya dini kitu ambacho haitaleta picha nzuri, na huenda Kakobe ameishaligundua hilo na ndicho anachotaka, it is a trap, Serikali should be so smart to see this and stay away from it.
Pia ule upande wa pili unaotegemea siasa za matukio unafurahia kwa kinachoendelea, fatilieni tweet za some of officials. Hii isiwe na isionekane ni vita ya kiimani, Kakobe et al waachwe waongee na Serikali isijibishane nao.