Chris14
JF-Expert Member
- Oct 2, 2017
- 3,076
- 2,185
Inaonekana kweli unategemea siasa za matukio. Kwa nn upanic, kwani amekutaja ww

Inaonekana kweli unategemea siasa za matukio. Kwa nn upanic, kwani amekutaja ww

Aiseeee !!!Ana bahati sana huyu Kakobe ni askofu,kwa ccm angekuwa muislamu angepewa kesi ya ugaidi kama wale wa Arusha.
hilo halikwepeki mkuu,,, umeona vyema,,ndy ukweli huo,,angekuwa shehe angepewa kesi ya kibitiAna bahati sana huyu Kakobe ni askofu,kwa ccm angekuwa muislamu angepewa kesi ya ugaidi kama wale wa Arusha.
Unaishi dunia ya wapi? MTU au taasisi wana uwezo wa kuitoa serikali madarakani, sema serikali ndio haiwezi kushindana na nguvu ya wananchi wakiamua .
Naishi Tanzania. Kwa akili yako unafikiri Kakobe anaweza kuing'oa CCM madarakani? Ameshindwa msanii Gwajima 2015, aweze Kakobe? Msidanganyike na hawa wasanii wanaotumia jina la Mungu kujipa umaarufu wasiostahili.[/QUOTE
Serikali ya Tanzania si Mungu dear lolote lawezekana hata wanafunzi wa primary wanaweza itoa madarakani wakiamua. Kwa sasa unaona watz ni wajinga lakini ogopa sana mjinga akichoka hata Kosovo itakuwa cha mtt
Naishi Tanzania. Kwa akili yako unafikiri Kakobe anaweza kuing'oa CCM madarakani? Ameshindwa msanii Gwajima 2015, aweze Kakobe? Msidanganyike na hawa wasanii wanaotumia jina la Mungu kujipa umaarufu wasiostahili.