Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 27,736
- 53,784
Mimi pia mkongwe mwenzangu nimefurhia kukuona tena, cha msingi uzima upoAhsante nafurahi kukuona
Mimi pia mkongwe mwenzangu nimefurhia kukuona tena, cha msingi uzima upoAhsante nafurahi kukuona
Daah hivi kumbe na wewe ulijoin mwaka niliojoin mimiMimi pia mkongwe mwenzangu nimefurhia kukuona tena, cha msingi uzima upo
Nimekukubali BroMkuu ata kazi zenye maslai makubwa wanataka mtu mwenye uzoefu wa miaka mi3 na zaidi ndoa c mchezo aisee inabidi uwe umeruka vuunzi vingi
Yeah ni kweli we need a lot of experience namna ya kuhandle women mood swings and all her carings...[emoji23]Mbona unanitisha
Yaani unaogopa kusikia hamsini ?
Kuna siku nilikaa peke yangu nikaanza kukumbuka mademu niliotembea nao aaaaaa acha kabisa yaani ninaowakumbuka bila chenga walifika kama 89 hivi
Acha zile za kununua fasta fasta kama pale Moro samaki samaki au Kona bar au Vila park MWZ au maisha club dodoma
Hakyanani nilijikuta nacheka tu [emoji28][emoji28][emoji28][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Hiyo 50 cha mtoto sana kuna watu wakikupa list zao mabasi 6 mpaka saba yanajaaa
Hiyo inajulikana. Ndo maana nishafanya Date zaid ya 50 na sijaoa bado