Matanga
JF-Expert Member
- Nov 13, 2019
- 2,281
- 3,973
Wadada sikilizeni.
Kile kitendo cha kumkatalia Mwanaume kufanya tendo la ndoa wakati ndo kwanza mmeanza kufahamiana aisee mnafanyaga jambo jema Sana, tena nasema mnafanyaga maamuzi sahihi kabisa lakini kile kitendo cha kuomba pesa na kumweleza boy wako matatizo yako yanayohitaji pesa wakati ndo kwanzaaa mmeanza mahusiano, sasa hapa ndio mnakoseaga sana, yaaani mnakosea sana aiseee.
Kwasababu kama mna akili za kutambua kua kutoa penzi mapema ni makosa, kwanini hamtambui kuomba pesa mapema ni makosa pia?
Kile kitendo cha kumkatalia Mwanaume kufanya tendo la ndoa wakati ndo kwanza mmeanza kufahamiana aisee mnafanyaga jambo jema Sana, tena nasema mnafanyaga maamuzi sahihi kabisa lakini kile kitendo cha kuomba pesa na kumweleza boy wako matatizo yako yanayohitaji pesa wakati ndo kwanzaaa mmeanza mahusiano, sasa hapa ndio mnakoseaga sana, yaaani mnakosea sana aiseee.
Kwasababu kama mna akili za kutambua kua kutoa penzi mapema ni makosa, kwanini hamtambui kuomba pesa mapema ni makosa pia?