Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,841
- 25,359
Jambo jema hivi na hisia zinaenda au nazo zinatoka😆Mimi ni mtu siwezi kuongea nikiona haina sababu ya kuongea halafu kuliwa sio kipya mtu akienda,aendreee tu haikuwa riziki anasema anaenda nibasi tu,aendee sina nguvu yakupigana. Ila akinijibu vibaya ndio nitamfunza,ila akienda aendee ila kama nimempenda sana basi naenda namuomba Mungu basi
Zinatokaga baada ya miezi 3Jambo jema hivi na hisia zinaenda au nazo zinatoka😆
Niliblock tu laini kake nilimsajiria kalikuwa na viakiba akawa anataka msaada nifungulie atoe Hela nikamwambia kuwa na adabu sikufungulii nenda kashitakiHahahah yakakutoka maneno mazito [emoji848] hatari hiyo
Haziishagi kwenye ubongo bhnZinatokaga baada ya miezi 3
😆😆😆😂Umeongea pointi leo, njoo hapa nikuongeze dagaa
Makusudi kabisaNimekaribia mgeni
It's dinner time [emoji2][emoji2]cha mchana kimeisha
Mamdogo, isije ikawa na wewe una mdomo..!!!ntarudi kusoma comments
😀 😀 we unatak upewe nini[emoji2][emoji2][emoji23][emoji2] Nimecheka aiseeh
Dagaa tena
.......binafsi sifahamu huyo kajala kafanya nini lakini mimi nikupongeze wewe kwa neno lako la hekima sana kwa wenzio, na umeongea kwa busara na hisia hasa hiyo para ya kwanza na mwisho, inaonekana una utulivu fulani na brain maturity ya hali ya juu, safi Mtoto mzuri Adela.......Nusu ya hekima ni kunyamaza na kukaa kimya. Ipo nguvu Katika kunyamaza, kuepusha mambo mengine yapite. Wanawake wenzangu huwezi kushindana na mwanaume aliye kudonoa (aliekuvua nguo) ingawa haibakigi alama.
wanawake wenzangu tujifunze kunyamaza haswaa kukaa kimya napo ni jibu tena jibu baya haswaa maana unamuumiza mtu kisaikolojia hajui jinsi ya kukuattack tena kwa vile umemlia bati kwa kutokumjibu chochote kwa yale anayosema juu yako.
Nimesema haya kutokana na yanayoendelea kwa Kajala na Harmonize, ingawa hayanihusu ila tujifunze hili kupitia hawa.
Karibuni tule Ugali dagaa.
😆😆😆😂Umezichimbia wapiNataka hela mchagga mie
MMhh..mtakaa kimya kwenye vyote ila sio mkiona au mkinusa helaShosti Kwa lolote lile watakalosema tukaage kimya..
Shukrani mkuu [emoji122].......binafsi sifahamu huyo kajala kafanya nini lakini mimi nikupongeze wewe kwa neno lako la hekima sana kwa wenzio, na umeongea kwa busara na hisia hasa hiyo para ya kwanza na mwisho, inaonekana una utulivu fulani na brain maturity ya hali ya juu, safi Mtoto mzuri Adela.......
🤣🤣Nipeni deal maselaMMhh..mtakaa kimya kwenye vyote ila mkiona au mkinusa hela