Filipo
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 9,342
- 5,536
Yani namshanga huyu X-shem wangu,ananifatiliiiiaaa wakati mahari hata hawajamaliza.
Pole sana Shem. Pambana shem, usikubali ndoa yako ivunjike!
Yani namshanga huyu X-shem wangu,ananifatiliiiiaaa wakati mahari hata hawajamaliza.
Madame B wala hili linalojiita bepari la kihaya lisikuwazishe, unampiga nuksi ya mayai viza na mavi baaasi. kutwa kucha atakuwa anahemea chai ya rangi na vitumbua kwako lol!
Unakabidhi lindo muda gani kaka au ndio unaripoti lindoni..??
Nawasikiliza,ikifika hatua ya kuja kwangu,I'm here
Yani umekaa kama vile paka alieona nyama jikoni.
Muda wote makucha umeyatanua.
Utajibeba mwaka huu mimi ndio Madame B,ukisikia mwingine ujue baba yangu alizaa nje.
Hapana chezea hapa.
Unatoa taarifa kwanza,haonekani ovyo mpaka kwa appointment
Shem uko upande wangu au upande wao?
Nawe nitakuchenjia sasa hv.
Mpenzi mbona sielewi hapa?
Mbonafuatwa fuatwa jamani?
Nitakunywa sumu nife nimechoka kusema.
Baby utanikosa.
Mpenzi umeamkaje?asante kwa penzi motomoto la jana,aisee sina la kusema hapo mamaaa
mie nipo pembeni naangalia upepo unakovuma...
Piga chini hii ndito Madame B,juu ya nini inakuweka roho juu mtoto wa kiume.
Kwanza we hendisam,elimu unayo,fuko benki limetuna, ndugu mabilionea kama bishanga unao kibao,tabu ya ninini mwanamke mwenyewe anakugeuza chumba cha gesti aingie atoke aingie atoke,mmwage bana wanawake kibao mjini.
Na kwa taarifa yako jana kaonekana hindu mandal sijui anaumwa nini. Kibaya zaidi mashoga zake kina Zinduna Kongosho King'asti BADILI TABIA gfsonwin sweetlady na Mamndenyi wanamharibu,kutwa kucha ni kusogoa tu kwenye simu na kupeana umbea,utapata mke kweli hapo?