The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 19,254
- 42,873
Wanabodi,
.....Ushauri wangu kwa Mhe. Zitto, at the moment, just jinyamazie chime kabisa!, hiyo ripoti ya CAG, imekabidhiwa kwako kama mwenyekiti wa PAC na sio kama Zitto Kabwe, hupaswi kusema chochote kwa sasa kwa sababu hata contents za ripoti yenyewe bado ziko supposed to be confidential, hivyo sio public document hadi zitakapowasilishwa rasmi mezani kwa spika!. The same applies to contents zozote za maoni ya PAC ni confidencial mpaka yawasilishwe mezani!, unapaswa kujitenganisha wewe kama Mhe. Zitto Zuberi Kabwe na wewe kama Mwenyekiti wa PAC!, hivyo hata ukifatwa na waandishi kuulizwa details zozote za confidential matter, hupaswi to disclose at this moment.
Pasco.
Wakuu naomba tumuelewe Pasco kwamba hajasema Zitto asiseme chochote, la hasha, ila kutokana na unyeti na hatua iliyofikiwa kuhusu hilisuala ni vema kwa sasa Zitto angejikita zaidi kumalizia kazi aliyokabidhiwa kama mwenyekiti wa PAC na muda utakapofika, ataeleza yote. Kama mmefuatilia vizuri kwenye hayo mahojiani, Zitto anasema bado kazi haijakamilika, ni vema angemaliza kazi akakabidhi kwa bunge kisha taratibu zingine zikafuata. Hapo hata yeye angeweza kutoa maoni au mtazamo wake kwa umma.
Mwisho kabisa, huu ni ushauri tu katoa Pasco!
Last edited by a moderator: