Ushauri wa bure kwa Magufuli na Kabudi: Ongezeni wigo wa kutokuwa na visa na nchi ambazo zina uwezo mkubwa wa kuja kuwekeza Tanzania

Synthesizer

JF-Expert Member
Feb 15, 2010
11,143
18,774
Nadhani kwenye suala la kuvutia wawekezaji tumelala sana. Tunaimba kuvutia wawekezaji lakini ukiuliza tunafanya nini kuwavutia hupati majibu yanayoeleweka. Sana sana tunajikuta tukiwazuia na kuwafukuza kwa kuanzisha sera zinazowakimbiza hata wale ambao tayari wapo nchini, tukisingizia uzalendo na kulinda maliasili.

Hata kutoa work permit kwa wawekezaji wanaostahili ni shida sana hapa Tanzania! Kuna wawekezaji ambao wamekaa zaidi ya miaka kumi nchini na wanaajili Watanzania, na bado wananyimwa permanent residence, zaidi ya kusumbuliwa sana wanapotaka ku-renew vibali vyao vya kuishi nchini.

Sasa ushauri wangu kwa Magufuli ni kwamba achana na kuishi zama za miaka ya 47 katika enzi hizi za globalization. Usiifanye Tanzania kuwa kisiwa kwa kisingizio cha uzalendo na kulinda maliasili. Kuwa mkali kwa wazamiaji wasioleta faida, lakini pale ambapo tuna wawekezaji genuine wafungulie milango na madirisha ya kuwekeza nchini. Acha kufanya "impulsive decisions" kwenye haya mambo. Tafakari faida na hasara kabla ya kufanya uamuzi.

Kwa Prof Kabudi, ambaye ni guru wa sheria za kimataifa, ushauri wangu ni kwamba ongeza wigo wa nchi ambazo wana potential kubwa ya kuwekeza kwa kuanzisha nao mikataba (bilateral agreements) ya kutokuwa na visa kwa siku 30, 60 au 90. Hiyo itafungua milango si tu ya kuleta watalii kwa wingi, bali pia kurahisisha wawekezaji kutembelea nchi yetu kuangalia fursa za kuwekeza bila kuwa na usumbufu. Usidanganyike na vijisenti tunavyopata vya kuombea visa ya Tanzania, faida ya kutokuwa na visa na hizi nchi itakuwa kubwa kuliko hizo visa fees wanazolipa.
 
Nakubaliana na wewe 100%. Hauwezi vutia wawekezaji with an unpredictable policies., bureaucratic hurdles, dunia ya sasa ni kama ku improve customer care kwenye biashara lazima utavutia watu kwenye biashara yako, hamna mtu anawekeza pesa yake sehemu hajui kesho itakuwaje, au kuna usumbufu tele kupata kibari tu kama cha mkazi.
 
Nakubaliana na wewe 100%. Hauwezi vutia wawekezaji with an unpredictable policies., bureaucratic hurdles, dunia ya sasa ni kama ku improve customer care kwenye biashara lazima utavutia watu kwenye biashara yako, hamna mtu anawekeza pesa yake sehemu hajui kesho itakuwaje, au kuna usumbufu tele kupata kibari tu kama cha mkazi.
Jiwe ni mshamba sana hata anapoambiwa cha ukweli kwake ndo umekosea kabisaaa!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani kwenye suala la kuvutia wawekezaji tumelala sana. Tunaimba kuvutia wawekezaji lakini ukiuliza tunafanya nini kuwavutia hupati majibu yanayoeleweka. Sana sana tunajikuta tukiwazuia na kuwafukuza kwa kuanzisha sera zinazowakimbiza hata wale ambao tayari wapo nchini, tukisingizia uzalendo na kulinda maliasili.

Hata kutoa work permit kwa wawekezaji wanaostahili ni shida sana hapa Tanzania! Kuna wawekezaji ambao wamekaa zaidi ya miaka kumi nchini na wanaajili Watanzania, na bado wananyimwa permanent residence, zaidi ya kusumbuliwa sana wanapotaka ku-renew vibali vyao vya kuishi nchini.

Sasa ushauri wangu kwa Magufuli ni kwamba achana na kuishi zama za miaka ya 47 katika enzi hizi za globalization. Usiifanye Tanzania kuwa kisiwa kwa kisingizio cha uzalendo na kulinda maliasili. Kuwa mkali kwa wazamiaji wasioleta faida, lakini pale ambapo tuna wawekezaji genuine wafungulie milango na madirisha ya kuwekeza nchini. Acha kufanya "impulsive decisions" kwenye haya mambo. Tafakari faida na hasara kabla ya kufanya uamuzi..
Haya mambo mbona tulishafanya sana au umesahau misamaha ya kodi ya miaka mitano (Sheraton, Movenpick, Serena..). Hayo yalitufikisha wapi?

Kwa Prof Kabudi, ambaye ni guru wa sheria za kimataifa, ushauri wangu ni kwamba ongeza wigo wa nchi ambazo wana potential kubwa ya kuwekeza kwa kuanzisha nao mikataba (bilateral agreements) ya kutokuwa na visa kwa siku 30, 60 au 90. Hiyo itafungua milango si tu ya kuleta watalii kwa wingi, bali pia kurahisisha wawekezaji kutembelea nchi yetu kuangalia fursa za kuwekeza bila kuwa na usumbufu. Usidanganyike na vijisenti tunavyopata vya kuombea visa ya Tanzania, faida ya kutokuwa na visa na hizi nchi itakuwa kubwa kuliko hizo visa fees wanazolipa.
Bilateral agreements? Hivi wewe unazijua hizo nchi za wawekezaji kweli, yaani wakuruhusu na wewe Mtanganyika uende kwao siku 90 bila visa? Maana kama sisi tukiwaruhusu inabidi na wao waturuhusu.
 
Nadhani kwenye suala la kuvutia wawekezaji tumelala sana. Tunaimba kuvutia wawekezaji lakini ukiuliza tunafanya nini kuwavutia hupati majibu yanayoeleweka. Sana sana tunajikuta tukiwazuia na kuwafukuza kwa kuanzisha sera zinazowakimbiza hata wale ambao tayari wapo nchini, tukisingizia uzalendo na kulinda maliasili.

Hata kutoa work permit kwa wawekezaji wanaostahili ni shida sana hapa Tanzania! Kuna wawekezaji ambao wamekaa zaidi ya miaka kumi nchini na wanaajili Watanzania, na bado wananyimwa permanent residence, zaidi ya kusumbuliwa sana wanapotaka ku-renew vibali vyao vya kuishi nchini.

Sasa ushauri wangu kwa Magufuli ni kwamba achana na kuishi zama za miaka ya 47 katika enzi hizi za globalization. Usiifanye Tanzania kuwa kisiwa kwa kisingizio cha uzalendo na kulinda maliasili. Kuwa mkali kwa wazamiaji wasioleta faida, lakini pale ambapo tuna wawekezaji genuine wafungulie milango na madirisha ya kuwekeza nchini. Acha kufanya "impulsive decisions" kwenye haya mambo. Tafakari faida na hasara kabla ya kufanya uamuzi.

Kwa Prof Kabudi, ambaye ni guru wa sheria za kimataifa, ushauri wangu ni kwamba ongeza wigo wa nchi ambazo wana potential kubwa ya kuwekeza kwa kuanzisha nao mikataba (bilateral agreements) ya kutokuwa na visa kwa siku 30, 60 au 90. Hiyo itafungua milango si tu ya kuleta watalii kwa wingi, bali pia kurahisisha wawekezaji kutembelea nchi yetu kuangalia fursa za kuwekeza bila kuwa na usumbufu. Usidanganyike na vijisenti tunavyopata vya kuombea visa ya Tanzania, faida ya kutokuwa na visa na hizi nchi itakuwa kubwa kuliko hizo visa fees wanazolipa.
Shida siyo hizo nchi, shida ni watanzania wanaaminishwa kuwa shida wanayopata ni kwa sababu ya nchi hizo , kumbe shida ni uongozi mbaya na hao ndio madereva wa hiyo sera ya uzalendo wa kuamini ukilala njaa chumbani mwako wiki unanafuu zaidi ya aliyeshiba mpangaji
 
Jiwe ni mshamba sana hata anapoambiwa cha ukweli kwake ndo umekosea kabisaaa!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Mshamba ni yule anayefikiri nchi kama Tanzania ambayo haina hata utamaduni wa uwajibikaji inaweza kujilinganisha na nchi kama China. Eti Free market.

South Korea kwa miaka mingi wamekuwa hawaruhusu soko lao la ndani kuwa na bidhaa za nje mapaka majuzi tuu baada ya uchumi wao kuwa mkubwa sana ndo wameruhusu. Nyinyi watanganyika hata njiti za viberiti hamtengenezi leo mnajitutumua kusema eti globalization?

Trump na uchumi wote huo alionao anawakomalia Huawei na makampuni ya magari ya China kuja kufanya biashara Marekani halafu eti watanganyika mnajidai mnaijua free market kuliko wamaerkani?
 
What about abrogation of MIGA agreement do you think a foreign investor may be enticed if that MIGA agreement is not adhered ?
 
What about abrogation of MIGA agreement do you think a foreign investor may be enticed if that MIGA agreement is not adhered ?
 
Mshamba ni yule anayefikiri nchi kama Tanzania ambayo haina hata utamaduni wa uwajibikaji inaweza kujilinganisha na nchi kama China. Eti Free market.

South Korea kwa miaka mingi wamekuwa hawaruhusu soko lao la ndani kuwa na bidhaa za nje mapaka majuzi tuu baada ya uchumi wao kuwa mkubwa sana ndo wameruhusu. Nyinyi watanganyika hata njiti za vibiriti hatengenezi leo mnajitutumua kusema eti globalization?

Trump na uchumi wote huo alionao anawakomalia Huawei na makampuni ya magari ya China kuja kufanya biashara Marekani halafu eti watanganyika mnajidai mnaijua free market kuliko wamaerkani?

Mkuu, kwa hiyo unataka tuwe kama Marekani na USA, ambao tayari wana technolojia zao? Na tunapoongelea suala la wekezaji hatumaanishi soko la ndani la bidhaa toka nje.
 
Bilateral agreements? Hivi wewe unazijua hizo nchi za wawekezaji kweli, yaani wakuruhusu na wewe Mtanganyika uende kwao siku 90 bila visa? Maana kama sisi tukiwaruhusu inabidi na wao waturuhusu.

Unazijua nchi ambazo tuna bilateral agreements hadi sasa? Nchi kama Singapore, Hong Kong, Malaysia, ambako kama Mtanzania huhitaji kuwa na visa. Sasa cha ajabu kitu gani? Kumbuka mara nyingi ni Tanzania ambao hawataki bilateral agreement kwa kuwa wanaona watakosa hela ya visa. Umesahau kwamba kwa upande wa South Africa ilituchukua miaka miwili kuwaondolea visa baada ya wao kuturuhusu kwenda kwao bila visa? Hata bila aibu tuliwaomba tuendelee kuwadai visa fee eti kutusaidia mapato ya kuendesha ubalozi wetu Pretoria. Ovyo kabisa.
 
Haya mambo mbona tulishafanya sana au umesahau misamaha ya kodi ya miaka mitano (Sheraton, Movenpick, Serena..). Hayo yalitufikisha wapi?

Unaongelea enzi zile mawaziri walikuwa wanaitwa kwenda London hotelini ku-sign mikataba ya Tanzania, bila hata ya kuisoma? Achana na enzi zile nyeusi za serikali shamba la bibi.
 
Umesema vyema ila Kabudi kama umempa sifa asizostahili kwanza haiba ya kidiplomasia hana labda ya shuleni lakini ya huku duniani ndio miongoni mwa watu waliomshauri vibaya jiwe kwa wawekezaji wa nje.

Maneno yake na utiifu wake kwa mteule hiyo wizara ameenda kupotezea watanzania muda tu. Jiwe amepata fursa ya kuwasaidia wana diplomasia for the last 20yrs lakini kama kajifunza basi 30% au mkuda tu.

Tafsiri yao ya uzalendo ndio msiba waliowapa watanzania.

Hapa ni kuandaa plan B tu kwa muda uliobaki kwa vichwa vyao hawapokei ushauri.
Nadhani kwenye suala la kuvutia wawekezaji tumelala sana. Tunaimba kuvutia wawekezaji lakini ukiuliza tunafanya nini kuwavutia hupati majibu yanayoeleweka. Sana sana tunajikuta tukiwazuia na kuwafukuza kwa kuanzisha sera zinazowakimbiza hata wale ambao tayari wapo nchini, tukisingizia uzalendo na kulinda maliasili.

Hata kutoa work permit kwa wawekezaji wanaostahili ni shida sana hapa Tanzania! Kuna wawekezaji ambao wamekaa zaidi ya miaka kumi nchini na wanaajili Watanzania, na bado wananyimwa permanent residence, zaidi ya kusumbuliwa sana wanapotaka ku-renew vibali vyao vya kuishi nchini.

Sasa ushauri wangu kwa Magufuli ni kwamba achana na kuishi zama za miaka ya 47 katika enzi hizi za globalization. Usiifanye Tanzania kuwa kisiwa kwa kisingizio cha uzalendo na kulinda maliasili. Kuwa mkali kwa wazamiaji wasioleta faida, lakini pale ambapo tuna wawekezaji genuine wafungulie milango na madirisha ya kuwekeza nchini. Acha kufanya "impulsive decisions" kwenye haya mambo. Tafakari faida na hasara kabla ya kufanya uamuzi.

Kwa Prof Kabudi, ambaye ni guru wa sheria za kimataifa, ushauri wangu ni kwamba ongeza wigo wa nchi ambazo wana potential kubwa ya kuwekeza kwa kuanzisha nao mikataba (bilateral agreements) ya kutokuwa na visa kwa siku 30, 60 au 90. Hiyo itafungua milango si tu ya kuleta watalii kwa wingi, bali pia kurahisisha wawekezaji kutembelea nchi yetu kuangalia fursa za kuwekeza bila kuwa na usumbufu. Usidanganyike na vijisenti tunavyopata vya kuombea visa ya Tanzania, faida ya kutokuwa na visa na hizi nchi itakuwa kubwa kuliko hizo visa fees wanazolipa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umesema vyema ila Kabudi kama umempa sifa asizostahili kwanza haiba ya kidiplomasia hana labda ya shuleni lakini ya huku duniani ndio miongoni mwa watu waliomshauri vibaya jiwe kwa wawekezaji wa nje.

Maneno yake na utiifu wake kwa mteule hiyo wizara ameenda kupotezea watanzania muda tu. Jiwe amepata fursa ya kuwasaidia wana diplomasia for the last 20yrs lakini kama kajifunza basi 30% au mkuda tu.

Tafsiri yao ya uzalendo ndio msiba waliowapa watanzania.

Hapa ni kuandaa plan B tu kwa muda uliobaki kwa vichwa vyao hawapokei ushauri.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu unanitia woga sana na mwelekeo wa nchi yetu! Hakua kinachokwenda vizuri?
 
Haya mambo mbona tulishafanya sana au umesahau misamaha ya kodi ya miaka mitano (Sheraton, Movenpick, Serena..). Hayo yalitufikisha wapi?


Bilateral agreements? Hivi wewe unazijua hizo nchi za wawekezaji kweli, yaani wakuruhusu na wewe Mtanganyika uende kwao siku 90 bila visa? Maana kama sisi tukiwaruhusu inabidi na wao waturuhusu.

Hebu rudi nyuma mkuu, ni nini kilifanya ile visa free kwa Watanzania kwa miezi sita kuingia UK kuondolewa? Tatizo lilikua UK au sisi?
 
ASEE
 

Attachments

  • 1553104188136.png
    1553104188136.png
    65.8 KB · Views: 309
Back
Top Bottom