cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,067
- 46,655
Thanks for appreciation Mimi ni ke mkuuWell said, bro, umeandika kifupi lakini naamini umeeleweka mno...
Thanks for appreciation Mimi ni ke mkuuWell said, bro, umeandika kifupi lakini naamini umeeleweka mno...
Wanataka ule utabiri wao ya kwamba upinzani utakufa utimie...Yani mi Raisi namkubali ila hii idea ya watu kujiuzulu na hakemei inamshushia credibility kabisa na itamfanya record yake huko mbeleni ije kuwa fedheha aisee, sioni huo umuhimu sijui rudia uchaguzi niunge mkono washauri hawampi ukweli hyo kitu imempunguzia heshima yake.
.
Ooh, sorry madame...Thanks for appreciation Mimi ni ke mkuu
Upinzani upo moyoni mwa watu na sio hii hama hama hii kitu inakera wengi bila kujali itikadi, hafu duniani hata ukifanya maendeleo makubwa vipi wapingaji hawakosekani au wakosoaji, pia wengi hawajui kazi ya vyama vya siasa kwa nchi. Bora Ku focus kwenye maendeleo na siyo hyo kitu ya kujiuzulu wala Mungu mwenyewe alipata upinzani kwa malaika wake aliyemuumba sembuse sisi tusitofautiane.Wanataka ule utabiri wao ya kwamba upinzani utakufa utimie...
Okay don't mindOoh, sorry madame...
Mkuu walichukua DNA kwa kila maiti kabla ya kuzikwa. Naona taarifa hii ilikupita labda ulikuwa bar unakunywa kimpumu pole mkuu!Bado tuu sijaelewa kwa Karne hii tunazikaje watu bila kuwatambua (Mv Nyerere)
Hivi hamna hata technolojia ndogo ya utambuzi jamani?
That’s sad
"----sisi kama Taifa je kuna mkakati wa pamoja wa kiuchumi (strategic economic inclusion)?"Toka 1997 wakati dira ya Taifa inazinduliwa na toka JPM atangaze namna ya kukuza uchumi kupitia sekta ya viwanda, sisi kama Taifa je kuna mkakati wa pamoja wa kiuchumi (strategic economic inclusion)?
Sisi hatuwezi kwenda kuvumbua 'gurudumu' upya, je, tunajua na kutambua aina nzuri ya magurudumu waliyotumia waliofanikiwa nasi tukajitahidi kuyatumia, hata kama ni kwa kurekebisha kidogo yaendane na ubovu wa barabara zetu?Je tuna model ya kiuchumi/model za kiuchumi ili kutimiza malengo ya kupata output kubwa katika kufikia uchumi wa kati kupitia viwanda?
Mkuu Paskali...Mkuu Fredm asante kwa hii kitu, umemwaga nondo za kufa mtu, la nyuzi za hivi, huwa hazichangiwi sana, ila ukiweka thread ya Daimond Platnum, michango tele!.
Kiukweli Tanzania tuna matatizo from top to bottom, left, right and center!.
P.
You made your posting unnecessarily too long; but I can understand the passion burning inside you!
Nimeona hoja nyingi tu nzuri ndani ya bandiko lako hili,; lakini sijui kama hata 'interns' wa hao wakubwa watakuwa na stamina ya kulisoma na kufanya mhitasari wa kuwafikishia wakubwa wao.
"----sisi kama Taifa je kuna mkakati wa pamoja wa kiuchumi (strategic economic inclusion)?"
Hili ni swali umeuliza, na bila shaka tupo wengi tu ambao hatufahamu jibu lake ndani ya Taifa hili. Je, ni mhimu wananchi tukajua?, 'at least' wale wanaotaka kujua! Waziri wa Viwanda anao uelewa mzuri wa mkakati huu?
Sisi hatuwezi kwenda kuvumbua 'gurudumu' upya, je, tunajua na kutambua aina nzuri ya magurudumu waliyotumia waliofanikiwa nasi tukajitahidi kuyatumia, hata kama ni kwa kurekebisha kidogo yaendane na ubovu wa barabara zetu?
Je tunaweza kuwaangalia nchi kama Korea ya Kusini na kuchambua walifanya nini na kuokoteza humo yanayotufaa? Taiwan, Vietnam, na wengine wanaoonekana kufanikiwa kuendeleza nchi zao.
Lakini katika hayo yote, acha nami nidandie kwenye bandiko lako hili kutoa yaliyo moyoni kuhusu mstakabali wa kuleta mageuzi ndani ya nchi yetu:
Tumo kwenye harakati za kuleta mabadiliko kupitia njia ya viwanda.
1. Ni nani anayejenga viwanda hivi? wawekezaji binafsi (wa nje na ndani); serikali; ushirikiano wa serikali na binafsi? Je, serikali imejiandaa vipi kuhakikisha hivi viwanda vitaleta mageuzi ya kweli, endelevu na ya kudumu? Raslimali yetu muhimu (watu) wame/naandaliwa kuhakikisha tunafaidika zaidi ya kupata bidhaa pekee za viwanda hivyo? (skills, technology) n.k.
2. Hatuwezi kuwa na mkakati wa kuwa na viwanda vya kutengeneza kila takataka (sizungumzii uwekezaji binafsi). Je, serikali inajua 'competitive advantage' yetu ni katika viwanda vya aina gani? Sasa hivi tunasukumiza tu madini yetu, hata yale 'strategic' kabisa, yanasombwa na kwenda kuwekwa kwenye bohari za wakubwa (stokepile) wanaojua umuhimu wa madini kama hayo.
Pamoja na kelele nyingi kuhusu ubovu wa elimu yetu na utendaji wa wataalam tulio nao; mimi siamini kamwe kuwa hatuna ujuzi wa kutosha ndani ya nchi hii kuanza kujipanga na kuendeleza malighafi hizi alizotujalia Mwenyezi Mungu ndani ya nchi yetu. Wataalam wapo, ni serikali tu ndio haina moyo na msukumo wa kuwafanya hawa wataalam watumie elimu yao ipasavyo.
Yapo mengi. Ngoja niishie hapa.
Jamaa ana mbwe mbwe" Very fortunate the boss you serve who is commander in chief is a TRUE VISIONARY , VERY BOLD COURAGEOUS LEADER WHO IS DECISIVE WITH AUDACITY to see we Tanzanian are navigating towards the promise land " , Kama hutajali unaweza kufafanua hapa ulimaanisha nini ? na kama haya uliyoyaandika hapa yanatoka moyoni kabisa na ni kweli unayamaanisha , kwa vigezo vipi ?
Tambua kwamba hapa JF kuhojiwa ni jambo la kawaida , kwahiyo usihofu .
Bro...I like ur topic ume elaborate vzuri nchi yetu inahtaji economic intelligence, business intelligence ili tupige hatua rather than investing in dirty politics, nchi zilizoendelea zilijikita zaidi kwenye economic intelligence, ndo mana zimepiga hatua sie tukiona wachina wamezagaa dunia wale wamejikita kwenye intelligencia ya kunusa fursa, without economic intelligence no development hasa kwenye era hii ya globalization, we are weak wenzetu wanatusoma udhaifu wetu na kutumia loophole kutupiga mfano issue za madini na makinikia.
Hiyo top vipi, unajipenda?Mkuu Fredm asante kwa hii kitu, umemwaga nondo za kufa mtu, la nyuzi za hivi, huwa hazichangiwi sana, ila ukiweka thread ya Daimond Platnum, michango tele!.
Kiukweli Tanzania tuna matatizo from top to bottom, left, right and center!.
P.
Great mind. Na tutapigwa sana kama hatutaki kutumia akili.I like ur topic ume elaborate vzuri nchi yetu inahtaji economic intelligence, business intelligence ili tupige hatua rather than investing in dirty politics, nchi zilizoendelea zilijikita zaidi kwenye economic intelligence, ndo mana zimepiga hatua sie tukiona wachina wamezagaa dunia wale wamejikita kwenye intelligencia ya kunusa fursa, without economic intelligence no development hasa kwenye era hii ya globalization, we are weak wenzetu wanatusoma udhaifu wetu na kutumia loophole kutupiga mfano issue za madini na makinikia.
Mkuu nisaidie summary ya huo ushauri maana nitachelewa nikianza kusoma post yote ya kwanza ya uzi huu. Natangulisha shukrani.Ushauri mzuri. Ukweli ni kwamba kila mwanadamu hakuja duniani kwa bahati mbaya isipokuwa ni kwa mpango wa Mungu. Na hivyo kila mwanadamu ana mchango katika kuleta maendeleo duniani na hasa katika eneo anamoishi. Together We Can
Umenikumbusha Secondary kwenye kuandika Ese unapamba zile point na maelezo mengi ya kujaza hata karatasi 8 halafu mwisho wa siku unapata 6 ya 20.
Sijaelewa ulichoandika.
Unanchukuliaje kwan mkuu![]()
![]()
baba swalehe kirahisi hivi uoe mke.
I'm not bro.. Nakubaliana na wewe we need national strategic na iwe implemented bila kujali ni Raisi gani yuko madarakani na sio kila mmoja akiingia in power ana interest's zake that's why we are still lagging behind.Bro...
We cannot take every one on-board. We just need dedicated and passionate individuals who are visionary, decisive and who have strategics eyes on how to gravitate towards our destination (uchumi wa kati).