Buchanan
JF-Expert Member
- May 19, 2009
- 13,199
- 1,969
- Thread starter
- #21
wewe bwana timua zako huko nenda kawashauri hao hao CCM wenzako. huna mema yoyote na CHADEMA wewe! muone kwanza, umekaa kiudini udini!!
Wewe mwenye mema na CHADEMA na usiye mdini mbona huna hoja yoyote ya maana zaidi ya kudai eti "timua zako?"