Kiraka Kikuu
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 5,903
- 1,983
- Thread starter
- #21
kwani mwalimu alisema ccm ikifa,iwe chama cha upinzani?
Acha mambo yako bana!
kwani unadhan ikifa itafutwa kwenye daftar la msajili wa vyama vya siasa?
kwani mwalimu alisema ccm ikifa,iwe chama cha upinzani?
Acha mambo yako bana!
Kama utakavyo kufa na kupotea hivi karibuni!!!Sitamani hata kiwe chama cha upinzani, natamani kife kabisa na kipotee katika ramani ya dunia
Kwa jinsi mambo yanavyo enda kombo,ni vyema chama cha mapinduzi kianze kujipanga kuwa chama imara cha upinzani.
Ushahidi u wazi,KANU ya kenya ilishindwa kuliona hili mapema na inawagharimu kwa sasa.
Ni ushauri tu,kwani kama mwana mageuzi,sipendi pindi upinzani utakapochukua nchi,kuwe na chama cha kusimamia serikali itimize kazi zake.
Naomba kuwasilisha.
kweli process inaendeleaWameanza kwa kuimeza CUF, ni process, sio kitu cha siku moja.