Kiraka Kikuu
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 5,904
- 1,976
Kwa jinsi mambo yanavyo enda kombo,ni vyema chama cha mapinduzi kianze kujipanga kuwa chama imara cha upinzani.
Ushahidi u wazi,KANU ya kenya ilishindwa kuliona hili mapema na inawagharimu kwa sasa.
Ni ushauri tu,kwani kama mwana mageuzi,sipendi pindi upinzani utakapochukua nchi,kuwe na chama cha kusimamia serikali itimize kazi zake.
Naomba kuwasilisha.
Ushahidi u wazi,KANU ya kenya ilishindwa kuliona hili mapema na inawagharimu kwa sasa.
Ni ushauri tu,kwani kama mwana mageuzi,sipendi pindi upinzani utakapochukua nchi,kuwe na chama cha kusimamia serikali itimize kazi zake.
Naomba kuwasilisha.