Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,502
- 113,610
Wanabodi,
Shirika la Ndege Tanzania ATC ni shirika letu na Ndege za ATC ni Ndege zetu hivyo shime Watanzania Wenzangu tuonyeshe uzalendo kwa kupanda Ndege zetu, Penda Chako, Jenga Chako kwa Kutumia Chako.
Tangu ATC imenunua hizi Ndege mpya za Bombardier, leo ndio nimepata fursa ya kuzionja ila kwa kulazimisha.
Naomba nisitaje destination ili kuwalinda wafanyakazi walio nihudumia kwa nía njema nisije nikawaponza ila kwenye customer care ATC Needs to improve.
Nilifanya booking yangu jana kwa njia ya simu. Nikaelezwa hakuna nafasi kwenye Economy Ndege imejaa. Nikasisitiza naomba tuu booking hata kama ndege imejaa ila tiketi yangu iandikwe waiting list. Baada ya ku insist ndipo nikaelezwa kuwa kwenye Business Class kuna nafasi ila nauli ya ni TZS 478,000 kwa One Way. Economy nauli ni 180,000 kwa one way.
Kosa la kwanza: Kwanini nilijibiwa ndege imejaa bila kuelezwa bussiness class ina nafasi? . Nisinge insist nisinge jua. Jibu rasmi lingepaswa kuwa economy imejaa lakini tuna nafasi business class.
Baada ya kujua kuna nafasi business class nikaomba booking ya economy na kueleza there are always no shows. Nikasema nibookie wakija wote wenye bookings zao, then nita upgrade from economy to business class. Nikaombwa number ya simu, sikujibiwa chochote. Huku kutojibiwa ni kosa la pili.
Leo mapema kabisa nikajibeba hadi airport nikauliza Airport Office ya ATC, to my surprise nikaambiwa ATC hawana ofisi uwanjani hapo! . Uwanja huo ni wa tatu kwa ukubwa baada ya JNIA na KIA. Kosa la tatu kwa nini ATC haina ofisi viwanja vyote vikubwa? .
Nikapelekwa Check in counter ya ATC uwanjani hapo nikaeleza nimefanya booking jana, wakaniomba reference number nikasema sijapewa, nikaomba waniangalie kwenye system Wataniona, labda aliyenifanyia booking alipitiwa kutonitumia ref no. Dada akanijibu saa hizi tunafungua check in counter, nenda subiri hadi wenye tiketi zao waishe ndipo nitakuangalizia!. Nilisubiri hadi abría wa mwisho. Ndipo nikaitwa, kuangalia hakuna booking yoyote iliyofanywa! .
Nikaelezwa kuna no shows hivyo nafasi ipo economy malipo ni cash na bei ni TZS 300,000 na sio ile ya 180,000. Nikauliza why, hakuna jibu naelezwa ndio bei yake!. Nililipa nikapewa boarding pass nikaboard.
Kufika ndani ya ndege, kwanza hakuna hata abiria mmoja wa business class hivyo seats zote reserved for business class zimesafiri empty. Jee abiria wangapi walijibiwa ndege imejaa hivyo kutafuta ndege za mashirika mengine?.
Kule ndani nako kulikuwa na mapengo ya hapa na pale kuashiria no shows kwenye economy.
Ushauri.
1.Watanzania ni Waswahili, no show sio big deal, hivyo ATC waanzishe mtindo kama wa Fast Jet, no show imekula kwako,no change, no refund.
2.ATC waanzishe over booking ila hizo extra waambiwe ni waiting list nafasi ikipatikana watakwenda, ikikosekana wataondoka na next flight. Ili ikitokea there is no shows or hakuna mtu wa business class, wawafanyie upgrade baadhi ya abiria muhimu na kuwaweka business ndege iende imejaa.
Tena leo kulikuwa na abiria mmoja wa wheel chair anabebwa na kuwekwa kwenye mbanano wa vile viti vya economy wakati business class ni empty!.
3.Waanzishe Frequent Flyer Program ili watu wavutiwe kusafiria ATC.
Otherwise huduma ni nzuri, japo viti vya Bombardier ni vidogo na hakuna any in flight entertainment ila refreshments zikiwemo bia! .
Big Up ATC, ndege yetu tuipende.
Paskali.
Shirika la Ndege Tanzania ATC ni shirika letu na Ndege za ATC ni Ndege zetu hivyo shime Watanzania Wenzangu tuonyeshe uzalendo kwa kupanda Ndege zetu, Penda Chako, Jenga Chako kwa Kutumia Chako.
Tangu ATC imenunua hizi Ndege mpya za Bombardier, leo ndio nimepata fursa ya kuzionja ila kwa kulazimisha.
Naomba nisitaje destination ili kuwalinda wafanyakazi walio nihudumia kwa nía njema nisije nikawaponza ila kwenye customer care ATC Needs to improve.
Nilifanya booking yangu jana kwa njia ya simu. Nikaelezwa hakuna nafasi kwenye Economy Ndege imejaa. Nikasisitiza naomba tuu booking hata kama ndege imejaa ila tiketi yangu iandikwe waiting list. Baada ya ku insist ndipo nikaelezwa kuwa kwenye Business Class kuna nafasi ila nauli ya ni TZS 478,000 kwa One Way. Economy nauli ni 180,000 kwa one way.
Kosa la kwanza: Kwanini nilijibiwa ndege imejaa bila kuelezwa bussiness class ina nafasi? . Nisinge insist nisinge jua. Jibu rasmi lingepaswa kuwa economy imejaa lakini tuna nafasi business class.
Baada ya kujua kuna nafasi business class nikaomba booking ya economy na kueleza there are always no shows. Nikasema nibookie wakija wote wenye bookings zao, then nita upgrade from economy to business class. Nikaombwa number ya simu, sikujibiwa chochote. Huku kutojibiwa ni kosa la pili.
Leo mapema kabisa nikajibeba hadi airport nikauliza Airport Office ya ATC, to my surprise nikaambiwa ATC hawana ofisi uwanjani hapo! . Uwanja huo ni wa tatu kwa ukubwa baada ya JNIA na KIA. Kosa la tatu kwa nini ATC haina ofisi viwanja vyote vikubwa? .
Nikapelekwa Check in counter ya ATC uwanjani hapo nikaeleza nimefanya booking jana, wakaniomba reference number nikasema sijapewa, nikaomba waniangalie kwenye system Wataniona, labda aliyenifanyia booking alipitiwa kutonitumia ref no. Dada akanijibu saa hizi tunafungua check in counter, nenda subiri hadi wenye tiketi zao waishe ndipo nitakuangalizia!. Nilisubiri hadi abría wa mwisho. Ndipo nikaitwa, kuangalia hakuna booking yoyote iliyofanywa! .
Nikaelezwa kuna no shows hivyo nafasi ipo economy malipo ni cash na bei ni TZS 300,000 na sio ile ya 180,000. Nikauliza why, hakuna jibu naelezwa ndio bei yake!. Nililipa nikapewa boarding pass nikaboard.
Kufika ndani ya ndege, kwanza hakuna hata abiria mmoja wa business class hivyo seats zote reserved for business class zimesafiri empty. Jee abiria wangapi walijibiwa ndege imejaa hivyo kutafuta ndege za mashirika mengine?.
Kule ndani nako kulikuwa na mapengo ya hapa na pale kuashiria no shows kwenye economy.
Ushauri.
1.Watanzania ni Waswahili, no show sio big deal, hivyo ATC waanzishe mtindo kama wa Fast Jet, no show imekula kwako,no change, no refund.
2.ATC waanzishe over booking ila hizo extra waambiwe ni waiting list nafasi ikipatikana watakwenda, ikikosekana wataondoka na next flight. Ili ikitokea there is no shows or hakuna mtu wa business class, wawafanyie upgrade baadhi ya abiria muhimu na kuwaweka business ndege iende imejaa.
Tena leo kulikuwa na abiria mmoja wa wheel chair anabebwa na kuwekwa kwenye mbanano wa vile viti vya economy wakati business class ni empty!.
3.Waanzishe Frequent Flyer Program ili watu wavutiwe kusafiria ATC.
Otherwise huduma ni nzuri, japo viti vya Bombardier ni vidogo na hakuna any in flight entertainment ila refreshments zikiwemo bia! .
Big Up ATC, ndege yetu tuipende.
Paskali.