Ushauri wa bure kutoka kwenye wimbo wa Ben Pol 'Phone'

if not now

Senior Member
Mar 4, 2017
186
171
Habari za jioni wanajamvi,

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza.

Msanii Ben Pol ametoa ushauri wa bure kwa akina dada wote wanaopenda kufwatilia simu za mabwana zao pindi wanapozisahau au wanapokuwa wanaoga kupitia nyimbo yake ya PHONE.

Kwani kufanya hivyo wanajitaftia wenyewe presha zisizo za maana. Hivyo kina dada tunawaomba mpunguze kusearch simu za waume zenu kuepukana na matatizo ya sio na maana kwani hata sisi pia ni binadamu tunapitiwa.
 
Kama unauhakika anakupenda wala huna muda wa kufuatilia simu, ukianza kufuatilia ujue umeshajua mapungufu yako na unatakata kuhakikisha kama unachohisi ni kweli. Uwe na moyo, ukishagundua ni kweli sasa ndiyo unaanza short answers ndiyo kabisa unaongeza maji kwenye wali bokoboko.
 
Mwanamke ata umwonyesha unampenda kwa kiwango cha juu bado hataweza kujiamini lazima atafukunyua fukunyua tu
Kama unauhakika anakupenda wala huna muda wa kufuatilia simu, ukianza kufuatilia ujue umeshajua mapungufu yako na unatakata kuhakikisha kama unachohisi ni kweli. Uwe na moyo, ukishagundua ni kweli sasa ndiyo unaanza short answers ndiyo kabisa unaongeza maji kwenye wali bokoboko.
 
Aahh hata wanaume wasishike simu za wadada maana unaweza kushangazwaa
 
Inategemea kama ni yule ambae ameshapigwa na dhoruba za dunia ataelewa somo, lakini kama ni hawa spring chicken ambao hawajui how green the grass is, hata ukimbeba asubuhi mpaka bafuni na chai umwekee atakuona fala.
Nimeipenda,"Spring chicken ambao hawajui how green the glass is''.
 
Aahh hata wanaume wasishike simu za wadada maana unaweza kushangazwaa
Kuna Rafiki yangu alishika simu ya mchumba ake akakuta chatting za huyo koroboi na dume wanasifiana namna ule mchezo wa kubonyeza 0713 ulivyo mzuri na baadhi ya picha zipo.Tena ni mchumba wake wanatarajia funga ndoa..akaja kuniomba ushauri na in serous way hadi machozi yanamtoka eti...Nilimuuliza unampenda bado hata km umegundua hilo??.akajibu ndio.nasababu iliyopelekea we mwaume ufukunyue simu yake nn?,akajibu nijiridhishe km hanisaliti...me nikamwambia huyo hakusaliti ila napigwa tigo tu we nenda kaendelee nae..Wakuu amini musiamini huu ni mwaka wa 3 kwenye ndoa yao..Hizi mambo hazina formula
 
Why not touch his phone?
I ll definitely scoop from time to time
 
Back
Top Bottom