Ushauri wa Bure juu ya gari yako

Msaada wa kwanza anza kutafuta mteja wa hio gari, siku nyingine usinunue gari inayoitwa Honda. Hao fani yao ni pikipiki tu na majenereta kwenye magari hamna kitu ni majanga tu kuanzia RVR, CR-V n.k

Kingine fanya diagnosis ya system ya mafuta
Mkuu RVR ni Honda?
 
umiliki wa gari ukiwa haujui chochote juu ya gari yako ni tatizo kubwa sana,wengi hawana elimu yoyote juu ya magari ni mwendo wa kuweka gear na kuondoka.

ningependa kutoa nafasi hii kwa yoyote mwenye swali kuhusiana na magari alitoe hapa ili liweze kujibiwa hapa hapa kwa maana wapo wenye ufahamu zaid kwenye technology ya magari utawaza kupata ABC za magari hii itakusaidia ata unapopata tatizo la gari yako huwez kupata taharuki
Karibuni tupeane Elimu.


Sent using Jamii Forums mobile app
samahani kaka nilikua naulizia hivi gari kama lamborghin uvungu wake unaendana kweli na barabara za hapa tz
 
Ngoja nijikusanye niwaone. Pengine kwa ushauri, kwa Dsm wapi naweza pata huduma sahihi kwa bei yetu wanyonge mkuu.
Si wapati mafundi wengi mm ila kwa miaka ya nyuma nilikua naenda automech ipo tabata kwa sasa cjawai pata nafasi ya kupekeka gari gerage ile pale automech nasikia wamefikisika kwa ss ila mafundi bado wapo wachache
 
Back
Top Bottom