nunua GRENADE mkuu , ziko poa sana
Glock 26 ni nzuri sana na bei yake sio kubwa ni kama shs 2m tatizo ni namna ya kupata leseni, usifanye masikhara na leseni ukipitanjia ya halali unaweza kuchukua hata zaidi ya mwaka
Hii ndiyo silaha ninayoipenda kwa kujilinda mwenyewe. Inabeba risasi 17 za 9mm.
View attachment 85927
Kwa ulinzi wa nyumbani nakushauri ununue shotgun kama hii 20 bore
View attachment 85928
Beretta
Wadau baada ya kwenda na kumaliza anger management classes, najihis niko tayari kumiliki kiguu cha kuku, ukijumlisha na hali ya nchi yetu inakokwenda, tija ya uhitaji inaongezeka.
Sasa apart from hearing from rap songs sina uelewa wa bunduki na wala ni pistol gani nzuri inapatikana hapa TZ.
Nzuri kwa maana, naweza beba kirahisi, haina jams, na risasi hupatikana kirahisi.
Hio hapo juu inaitwa .44 bulldog! Lil waynes pet!
Wenye uelewa naomba ushauri.
Nadhani hii itanifaa sana, nafikiria kuanza kujilinda mimi binafsi....ushauri wako umekuwa wa maana sana kwangu
siraha za kijihami/kujilinda zipo nyingi isipokuwa inategemea na uhitaji wako.wengine wanapenda kuwa na siraha za kujilinda na kuwindia pia.wengine wanapenda siraha ndogo za kujilinda tu(pistol).sasa sijuwi wewe unataka ya namna gani.ila kwa ufupi tu ni kwamba zile siraha za kuwindia ni zile zenye mtutu wa kati(medium calibre) na kama ni siraha za kujilinda ni pistol zenye mtutu mdogo(small calibre).sasa kama unataka pistol zipo nyingi tu,ambazo nazo zinatofautiana ukubwa kulingana na uwezo wa pistol yenyewe.mfano zipo za ukubwa wa mtutu wa 0.35mm hadi 9mm.hizi za 9mm zina uwezo wa kupiga umbali mrefu hadi mita 200(centre point).umbali wa kupiga inategemea na ukubwa wa calibre ya pistol hiyo.ila kwa ushauri zaidi tembelea maduka yanayouza siraha(Tanganyika arms na pale jeshini upanga)ukienda ktk maduka hayo utapata ushauri wa bure na mzuri na pia utaziona na siraha zenyewe physically na hata ukitaka special order watakuagizia tu ili mradi ufuate taratibu zote za nchi za kumiliki siraha ila revolver hairuhusiwi kwa hapa TZ.ni kwa matumizi ya jeshi tu pamoja na silencer equipmenent.
Ask Tunda PoriWadau baada ya kwenda na kumaliza anger management classes, najihis niko tayari kumiliki kiguu cha kuku, ukijumlisha na hali ya nchi yetu inakokwenda, tija ya uhitaji inaongezeka.
Sasa apart from hearing from rap songs sina uelewa wa bunduki na wala ni pistol gani nzuri inapatikana hapa TZ.
Nzuri kwa maana, naweza beba kirahisi, haina jams, na risasi hupatikana kirahisi.
Hio hapo juu inaitwa .44 bulldog! Lil waynes pet!
Wenye uelewa naomba ushauri.
Ask Tunda Pori