Kifaru86
JF-Expert Member
- Apr 22, 2017
- 1,734
- 3,802
vyama vingi ndo nini ccm wakiamua kuvifuta wanavifutaa tuu kwa maana wao ndio waliovianzisha na kuvisajili na wakawapeleka wana ccm kwenda kuvisimamia vyama vingi hivyo basi ccm muda wowote wakianua kuvifuta wanavifuta tuuuJapo nitaumia sana lkn natamani vyama vyingi vifutwe alfu nione CCM itashindana na Nani?
Katiba ndio sheria mama inaruhusu mfumo wa vyama vyingi vya siasa lkn kihuhalisia vyama vyingi nchini Tanzania havifutwi kwa sababu ya kuwaogopa wazungu naamini leo hii kama sio wazungu ninaimani vyama vyingi vingefutwa hata kesho
Swali langu kuliko tuumizane wenyewe kwa wenyewe kwa sababu za kuwaogopa wazungu watakata misaada Kwanini tisibadilishe katika tubaki na ccm Kila mtanzani anayetaka kufanya siasa tuwe ccm wote nchi nzima?