dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 24,589
- 60,790
tamaa mbaya sana, mwache apambane kivyake
Duuh msala huu...!! Hapa kichwa kinawaka motooo#rosicky na familia ya mwanaume haijui kama mtoto wao anafanya hizo mbishe




Kweli kabisa. Huo ndiyo ukweli haswaaa.#sk2016 anasema ana hofu rafiki mkubwa wa mumewe yuko ndani kwa hii biashara hivo anahofia kuzaa naye majukum ya watoto yakamuangukia
Kuwa na misingi isiyokubalika katika dini ni miongoni mwa sababu zinazokubalika kwa mwanamke wa kiislam kutoa katika ndoa.
Mimi nahisi akae chini na mumewe na amueleze wazi kwamba amemjua ni muuza unga, hivyo aache hiyo biashara. Asaaa kheri mume anaweza akamuelewa wakaendelea na maisha mengine.
Ikiwa mume atakataa, namshauri ajiondoe kwenye hiyo ndoa haraka sana. Litakapokuja kubumburuka basi jamaa na mkewe na mtoto wao wataingia kwenye balaa kubwa sana.
Na wewe pia mtoa mada ndugu yangu nyakati zimebadilika. Angalia namna ya kuachana na hii ID maana wakikutafuta uisaidie jamhuri kuwaonyesha hugo rafiki ili wampate mumewe basi na wewe washakupotezea muda wako.